Quotessence
Home / Quotes / Quote by Christopher Hitchens

Quote by Christopher Hitchens

Author

Christopher Hitchens
Christopher Hitchens

Christopher Hitchens was an English-American author, journalist, and social critic. He was known for his sharp wit and controversial views, particularly on religion and politics. Hitchens was a prominent figure in the public discourse of the late 20th and early 21st centuries. more

You May Also Like

“Hakimu na Kuhani Mkuu wa Shilo Eli alipata matatizo makubwa wakati wa mgogoro wa Waisraeli na Wafilisti, kati ya mwaka 2871 na 2870 Kabla ya Kristo. Mara tu baada ya kupewa taarifa ya kifo cha watoto wake wawili, Hofni na Finehasi, na kutwaliwa kwa Sanduku la Agano la Bwana wa Majeshi lililohifadhi Amri Kumi za Mungu, Eli alianguka kutoka katika kiti chake na kufariki papo hapo akiwa na umri wa miaka 98. Aidha, mkwe wa Eli, mke wa Finehasi, alijifungua ghafla na kufariki alipopata taarifa ya kifo cha mkwewe na taarifa ya kuuwawa kwa mumewe na ya kutekwa nyara kwa Sanduku la Agano. Mwanajeshi kutoka Benyamini falaula angetumia hekima na busara kutoa taarifa ya kifo na ya kutwaliwa kwa Sanduku la Agano huenda Eli asingefariki, na huenda mkwewe asingejifungua mtoto njiti na huenda asingekufa siku hiyo. Kwani Sanduku la Agano lilirejeshwa nchini Israeli, na Wafilisti wenyewe, baada ya miezi saba tangu litwaliwe, na kifo cha watoto wa Eli yalikuwa mapenzi ya Mungu. Hivyo Eli asingeweza kuzuia kifo cha watoto wake, na Wafilisti wasingeweza kukaa na Sanduku la Agano milele. Lakini katika kafara ya Isaka ambapo Isaka aliamua kujitoa kafara mwenyewe kumfurahisha Mungu na baba yake kama Yesu alivyoamua kujitoa kafara mwenyewe kumfurahisha Mungu na baba yake wa mbinguni, Sara angekufa kama Ibrahimu hangetumia hekima alipomwambia anakwenda kumtolea Bwana kafara ya mwanakondoo wakati akijua anakwenda kumtoa Isaka mtoto wa pekee wa Sara. Hekima inatoka moyoni, busara inatoka mdomoni. Kwa vile suala la kutoa taarifa mbaya kwa mtu ni gumu kwa yule anayetoa na kwa yule anayepokea, hekima na busara havina budi kutumika.”

“A time will come in human history when human beings will follow the Ten Commandments and so on as regularly as they fall to the ground when they step off a roof. They will then be more astonished that someone would lie or steal or covet than they now are when someone will not. The law of God will then be written in their hearts as the prophets foretold. (Jeremiah 31:33, Hebrews 10:16) This is an essential part of the future triumph of Christ and the deliverance of humankind in history and beyond.”

“Is Jesus adding to the law by broadening our attention from murder to anger and contempt? By no means. He is pointing out the seedling that grows into the thorny vine that chokes out life. He is appealing to us to fastidiously weed the garden of our personal holiness. He is teaching that if every person dealt with anger quickly and rightly, there would be no need for the sixth word at all (p. 94).”