Quotessence
Home / Quotes / Quote by sir kristian goldmund aumann

Quote by sir kristian goldmund aumann

Author

sir kristian goldmund aumann

Browse famous quotes and profile details for sir kristian goldmund aumann. more

You May Also Like

“- هل تدري يا "تيودور" لماذا أحببنا السينما الصامتة؟ لأننا نحبُّ أن نخلق، ونُبدِعَ، ونُملي على الكون ما نتصوَّر ونتخيل، المسرح بكل قُوَّته وجبروته وحضوره لا يجعلك بالضرورة تحبُّ ما يُقال، قد تجده لطيفًا، ولكن في كثير من الأحيان قد تجده مُمِلًّا ومُتكرِّرًا، أمَّا هناك في السينما، عندما تجلس صامتًا مُحدِّقًا إلى الصور، تكتب في ذهنك وبنفسك الحوار الذي أرَدتَ سَماعَه، وقتها فقط وعندما تخرج من صالة العرض تشعر بأنك قد أنجزت شيئًا، أخرجته إلى حَيِّز الوجود والإمكان.”

“Watu wanaohatarisha maisha yao kwa kudharau sheria wakati mwingine hawatakiwi kudharauliwa. Ni sawa na mtu aliyepoteza kila kitu katika maisha yake. Wana uwezo wa kufanya chochote. Serikali ya Meksiko ilipokataa kukidhi matakwa ya El Tigre ya kubadili katiba ya nchi – kuondoa kipengele cha mkataba wa kubadilishana watuhumiwa na washtakiwa – ili akikamatwa asipelekwe Marekani ambako atafungwa na kufia gerezani, El Tigre aliilaani Serikali ya Meksiko. Kujibu mapigo, ya laana ya maluuni, Serikali ya Meksiko ikawakabidhi makamanda 7 wa Kolonia Santita kwa mamlaka za Marekani, na kuongeza juhudi za kumsaka El Tigre mpaka nje ya Amerika ya Kusini na Kaskazini. El Tigre, kuikomoa serikali na kuwalipia kisasi makamanda wote waliouwawa na kufungwa na shirikisho, akamuua Mwanasheria Mkuu wa Serikali (PGR) na maafisa 7 wa Jeshi la Polisi la Nchi (PJF) kulinganisha idadi ya makamanda wake waliopelekwa Marekani – halafu 'akapotea', kabisa; baada ya kutangaza vita na Serikali ya Meksiko!”

“The two oldest fought in the First World War, the rest battled in the Second. They knew about Korea but not understanding what it was about didn’t give it the respect—the seriousness—Frank thought it deserved. The veterans ranked battles and wars according to loss numbers: three thousand at this place, sixty thousand in the trenches, twelve thousand at another. The more killed, the braver the warriors, not the stupider the commanders.”