Quotessence
Home / Quotes / Quote by Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi

“Mpinga Kristo atakapoona imeshindikana kuwanyamazisha, Eliya na Enock, huku akitamba kwamba yeye ndiye Yesu Kristo ambaye kila mtu ndiye aliyekuwa akimsubiri arudi kwa mara ya pili; na kwamba yeye anatoka katika ukoo wa mfalme Daudi, ili watu waamini kama kweli yeye ndiye Yesu Kristo, ataamuru Eliya na Enock wauwawe hadharani kama wahubiri wengine. Eliya na Enock watakapouwawa, Mungu atawafufua na watarudi mbinguni wakiwa wameonja mauti kama binadamu mwingine yeyote yule. Hapo mlango wa rehema utakuwa umefungwa. Muda wowote kuanzia hapo Yesu atarudi, kwa mara ya pili, na kwa ajili ya ufufuo wa kwanza.”

Quote by Enock Maregesi

Author

Enock Maregesi

Browse famous quotes and profile details for Enock Maregesi. more

You May Also Like

“With just a tap on the gas, the car flew off of the road and skidded sideways into the encompassing woods. And I felt the sudden impact as the tires scraped against mounds of dirt, buried roots and jagged stones. The blood-red moon lightly broke through the scattered leaves above us as we bounced among the hidden marshes that could have stretched for miles. But I had no recollection of time because everything, the sounds and the surrounding scenery swept by so quickly. Gripping the steering wheel, his feet on the pedals, spine arched, and my hair whipping my face in the wind from the freshly broken glass on my passenger-side-window I couldn’t help but smile with the childish pleasure of being hurtled through the air as if we were on a rollercoaster built for two.”