“Mpinga Kristo atakapoona imeshindikana kuwanyamazisha, Eliya na Enock, huku akitamba kwamba yeye ndiye Yesu Kristo ambaye kila mtu ndiye aliyekuwa akimsubiri arudi kwa mara ya pili; na kwamba yeye anatoka katika ukoo wa mfalme Daudi, ili watu waamini kama kweli yeye ndiye Yesu Kristo, ataamuru Eliya na Enock wauwawe hadharani kama wahubiri wengine. Eliya na Enock watakapouwawa, Mungu atawafufua na watarudi mbinguni wakiwa wameonja mauti kama binadamu mwingine yeyote yule. Hapo mlango wa rehema utakuwa umefungwa. Muda wowote kuanzia hapo Yesu atarudi, kwa mara ya pili, na kwa ajili ya ufufuo wa kwanza.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“If fear is going to stop us, we should concede failure right now.”
Source: Hunting for Spring
Source: FLAME: Chronicles of a Teenage Caster
“Hoping and imagining and believing in magic had always been like breathing to Evangeline.”
Source: A Long Way Gone: Memoirs of a Boy Soldier
Source: Ujasiri
Source: Teenagers War: Vietnam 1969
“Children can be murderers... Little boys can be monsters”
Source: The Poppy War
Source: The Poppy War