Quotessence
Home / Quotes / Quote by Katie Reus

Quote by Katie Reus

Work

Resurrection

This novel delves into the complexities of human existence, examining the possibility of rebirth and the quest for forgiveness and redemption. more

Author

Katie Reus

Browse famous quotes and profile details for Katie Reus. more

You May Also Like

“Mnamo mwaka 1957 Rais David Eisenhower wa Marekani (inasemekana) alipewa taarifa usiku mmoja akiwa Washington, D.C., kuhusu chombo cha ajabu kilichoanguka kwenye jangwa la Nevada huko Marekani. Ndani ya chombo kile kulikuwa na ‘aliens’ wawili, nao waliomba kuonana na Eisenhower kuhusu ujumbe waliokuja nao kutoka katika ulimwengu wao. Bila kuchelewa, Eisenhower alipanda ndege usiku huohuo mpaka Texas. Huko alichukua gari hadi kwenye eneo la kijeshi liitwalo Area 51, ambapo ndipo ule ujumbe wa ulimwengu mwingine ulipokuwa umeshikiliwa. Mkutano wa aina yake ulifanyika chini ya ardhi, kati ya Rais Eisenhower na hao viumbe wawili wa anga za mbali, chini ya tafsiri ya wanasayansi wa NASA. Walichotaka ni urafiki na dunia yetu, inayogombewa na dunia nyingi za ‘aliens’, kwa mbadala wa teknolojia kadha wa kadha ambazo sisi hatukuwa nazo. Pande zote mbili zilifikia maafikiano, wao wakitupa teknolojia, sisi tukiwapa uwezo wa kufanya majaribio ya kisayansi kwa binadamu wa dunia nzima. Hivyo kuanzia hapo ‘aliens’ wakawa na uhalali wa kuteka watu katika mazingira ya kutatanisha na kuingilia watu usiku wakiwa wamelala, katika tukio la kiulimwengu wa roho lijulikanalo kama ‘sleep paralysis’. ‘Sleep Paralysis’ ni tukio la ajabu. Mtu anapokuwa amelala mwili wake huonekana kufa ganzi, kiasi kwamba anajihisi hawezi hata kunyanyua mkono. Aghalabu hali hiyo inapotokea maana yake ni kwamba ‘aliens’ wanamchukua huyo mtu, kupitia kwenye paa la nyumba aliyolala, hadi mawinguni katika ndege yao. Ndani ya ndege wanaulaza mwili wa binadamu juu ya kitanda cha upasuaji, na kumfanyia upasuaji, ili kusoma biolojia iliyotumika kuumba wanadamu na kujua kwa nini sisi tuko tofauti na wao. Baada ya hapo wanamrudisha huyo mtu kitandani kwake, ambapo atalala usingizi wa kawaida hadi asubuhi. Atakapoamka hatajua kama alifanyiwa upasuaji. Wapo mamilioni ya watu duniani waliolalamika kutokewa na ‘aliens’, lakini serikali haziwahi kuilithibitisha hilo. Inavyosemekana, teknolojia za ‘aliens’ zinahifadhiwa na Jeshi la Marekani (Pentagon) na shirika la kijasusi la MAJI au MJ12. MJ12 ni watu 12 hatari zaidi duniani, wakiongozwa na mkurugenzi mkuu wa CIA (anayejulikana kama MJ1).”

“All good things come to those who have infiltrated their enemy. That is the Kremlin’s path to victory, and it’s been their faith since 1917. You can be sure the Russians have agents in the White House, in our CIA, in our NSA, in our military, in our State Department. “In a globalizing world,” noted Primakov, “it is impossible to talk about an isolated Russia. We are not isolated from others and we do not isolate them, not even our enemies. We have diversified our economic orientation….” And it’s true. Russia’s strategy is not a strategy of isolation. Russia’s strategy is infiltration and integration. That is why the Russians can openly prepare for war and we don’t feel any sense of alarm. Russia’s agents have been surrounding us all along, whispering sweet nothings into our collective ear. Trouble is coming. Can you hear it's approach? Or are you seduced by sweet nothings?”

“The world need more honest, authentic, rational, confident, well-rounded, balanced, humble, intelligent polite, kind people, people that do not play with others feelings and dreams. People that lift others up. Happy people full of patriotism, love and dreams. People able to see into others eyes, suffering, despair and do something about it. We need real people. CIA is not a game, an action movie, a thriller book, a video game. CIA is a place of people with integrity, fighters of freedom and peace. CIA should be a role model agency, stopping all this evil that we find around us. Stopping those making fun of others lives and dreams. A place where all the good things in the world converge. We have to do something to make all the social media more safe. We have to remove all the toxic and manipulators out there from here. I am waiting for your next post, I always find inspiration by reading you. I am so far from my dreams and so close to them at the same time. See you soon. Keep up the good work.”

Author:Lluvia