“Kuna tofauti kati ya haki na utawala wa mabavu. Haki ni jambo ambalo mtu anastahili au kitu anachostahiki kuwa nacho. Utawala wa mabavu ni utawala wa kidikteta. Ukitenda haki lazima kuna watu watafaidi. Lazima kuna watu wataumia. Fidel Castro alikuwa kiongozi msahili. Alikuwa kiongozi aliyewezesha kutendeka kwa mambo. Kwa sababu hiyo, wachache walimpenda, wengi walimchukia. Lakini ili ufanye mazuri lazima upambane na mabaya. Shetani mwenyewe hatakuruhusu ufanye mazuri bila kukuletea mabaya.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“Tukiacha Siasa Zinazotutawala Ziingilie Dirishani, Hekima Zinazotutawala Pia Zitatutokea Mlangoni”
Source: Eggshells
Source: Nausea
“Four limbs good, six limbs bad.”
Source: A Darkling Sea
“Isn’t a tangle of limbs a glorious thing to behold? Don’t you wish to be in a tangle of limbs?”
Source: Hotels of North America
Source: Heart of a Cowboy
Source: The Prince of Tides