Quotessence
Home / Topics / Dizziness Quotes

Dizziness Quotes

Browse 5 quotes about Dizziness.

Dizziness Quotes

“Mapenzi, kama ilivyo kwa vitu vyote hapa ulimwenguni, hayawezi kuwepo bila kujumuishwa na fizikia na kemia yake! Bila kemia hakuna mapenzi ya kudumu. Tamaa ya ngono kimsingi huanza pindi unapokutana na mtu. Tamaa hiyo huweza kukua na kuwa kitu kingine kadiri muda unavyokwenda lakini chanzo kinakuwepo toka siku ya kwanza mlipokutana. Kemikali inayosababisha tamaa ya ngono na hata kuikuza tamaa hiyo ni 'phenyl ethylamine' ('fino itholamine') au PEA ambayo ni kemikali ya mapenzi ndani ya ubongo. Husisimua watu na huongeza nguvu za kimwili (fizikia) na kihisia (kemia). Tamaa husababisha mtu azalishe PEA nyingi zaidi, kitu kinachosababisha kujisikia kizunguzungu (cha hisia za kimapenzi) na dalili zingine kama magoti kutetemeka, jasho kutoka viganjani na kutokutulia. Kemikali hii inapozalishwa kwa kiwango kikubwa, hutuma alamu ('signals') kutoka kwenye ubongo mpaka kwenye viungo vingine vya mwili na kutumika kama 'dopamine' au 'amphetamine' ambazo ni kemikali za ulevi ndani ya ubongo. Iwapo unajiuliza kwa nini wewe au mtu mwingine unavutiwa na mtu ambaye hamwendani kimapenzi, inaweza kuwa ni kwa sababu una kiwango kikubwa cha kemikali hizo kuliko mwenzako, kitu ambacho huzidi uwezo wa kutumia kichwa na kutoa maamuzi bora kulingana na akili ya kuzaliwa. Kwa jumla, mapenzi yote ya kweli uhitaji angalau kiwango kidogo cha PEA kwa wale wanaopendana. Cha msingi kukumbuka ni kwamba kemikali hizi huja kwa vituo, nikiwa simaanishi kwamba tamaa ya ngono hupotea pale mtu anapoelekea kwenye uhusiano wa kudumu. Lakini mambo hubadilika. Hatuwezi kuvumilia zile hisia kali kadiri tunavyozidi kusafiri kuelekea kwenye uhusiano wa kudumu na kwenye maisha ya pamoja yenye furaha. Katika uhusiano wenye afya hata hivyo matatizo hutokea hapa na pale. Chanzo cha Murphy na Debbie kupendana kilikuwa kemia zaidi kuliko fizikia. Kama hakuna kemia hakuna mapenzi.”

“Oh, look, the lights are so pretty,” I said dreamily, having just noticed them. I smiled at the way the lights were dancing overhead, pink and yellow and blue. I felt some pressure on my arm and thought, I should look over and see what’s going on, but then the thought was gone, sliding away like Jell-O off a hot car hood. “Fang?” “Yeah. I’m here.” I struggled to focus on him. “I’m so glad you’re here.” “Yeah, I got that.” “I don’t know what I’d do without you.” I peered up at him, trying to see past the too-bright lights. “You’d be fine,” he muttered. “No,” I said, suddenly struck by how unfine I would be. “I would be totally unfine. Totally.” It seemed very urgent that he understand this. Again I felt some tugging on my arm, and I really wondered what that was about. Was Ella’s mom going to start this procedure any time soon? “It’s okay. Just relax.” He sounded stiff and nervous. “Just...relax. Don’t try to talk.” “I don’t want my chip anymore,” I explained groggily, then frowned. “Actually, I never wanted that chip.” “Okay,” said Fang. “We’re taking it out.” “I just want you to hold my hand.” “I am holding your hand.” “Oh. I knew that.” I drifted off for a few minutes, barely aware of anything, but feeling Fang’s hand still in mine. “Do you have a La-Z-Boy somewhere?” I roused myself to ask, every word an effort. “Um, no,” said Ella’s voice, somewhere behind my head. “I think I would like a La-Z-Boy,” I mused, letting my eyes drift shut again. “Fang, don’t go anywhere.” “I won’t. I’m here.” “Okay. I need you here. Don’t leave me.” “I won’t.” “Fang, Fang, Fang,” I murmured, overwhelmed with emotion. “I love you. I love you sooo much.” I tried to hold out my arms to show how much, but I couldn’t move them. “Oh, jeez,” Fang said, sounding strangled.”