Quotessence
Home / Topics / Signals Quotes

Signals Quotes

Browse 537 quotes about Signals.

Related topics

Signals Quotes

“We will give the rest of them names--Turkey Feathers, Lonesome Pine, Old Sagebrush Mustache--western names as hardy as desert bones, blanched crisp as the napkins and paper placemats on which I'll take notes. You'll tug your ear or scratch your nose, which we understand as signals. The diner patrons won't notice. They never do. And we'll go on speaking to each other in code.”

“Mapenzi, kama ilivyo kwa vitu vyote hapa ulimwenguni, hayawezi kuwepo bila kujumuishwa na fizikia na kemia yake! Bila kemia hakuna mapenzi ya kudumu. Tamaa ya ngono kimsingi huanza pindi unapokutana na mtu. Tamaa hiyo huweza kukua na kuwa kitu kingine kadiri muda unavyokwenda lakini chanzo kinakuwepo toka siku ya kwanza mlipokutana. Kemikali inayosababisha tamaa ya ngono na hata kuikuza tamaa hiyo ni 'phenyl ethylamine' ('fino itholamine') au PEA ambayo ni kemikali ya mapenzi ndani ya ubongo. Husisimua watu na huongeza nguvu za kimwili (fizikia) na kihisia (kemia). Tamaa husababisha mtu azalishe PEA nyingi zaidi, kitu kinachosababisha kujisikia kizunguzungu (cha hisia za kimapenzi) na dalili zingine kama magoti kutetemeka, jasho kutoka viganjani na kutokutulia. Kemikali hii inapozalishwa kwa kiwango kikubwa, hutuma alamu ('signals') kutoka kwenye ubongo mpaka kwenye viungo vingine vya mwili na kutumika kama 'dopamine' au 'amphetamine' ambazo ni kemikali za ulevi ndani ya ubongo. Iwapo unajiuliza kwa nini wewe au mtu mwingine unavutiwa na mtu ambaye hamwendani kimapenzi, inaweza kuwa ni kwa sababu una kiwango kikubwa cha kemikali hizo kuliko mwenzako, kitu ambacho huzidi uwezo wa kutumia kichwa na kutoa maamuzi bora kulingana na akili ya kuzaliwa. Kwa jumla, mapenzi yote ya kweli uhitaji angalau kiwango kidogo cha PEA kwa wale wanaopendana. Cha msingi kukumbuka ni kwamba kemikali hizi huja kwa vituo, nikiwa simaanishi kwamba tamaa ya ngono hupotea pale mtu anapoelekea kwenye uhusiano wa kudumu. Lakini mambo hubadilika. Hatuwezi kuvumilia zile hisia kali kadiri tunavyozidi kusafiri kuelekea kwenye uhusiano wa kudumu na kwenye maisha ya pamoja yenye furaha. Katika uhusiano wenye afya hata hivyo matatizo hutokea hapa na pale. Chanzo cha Murphy na Debbie kupendana kilikuwa kemia zaidi kuliko fizikia. Kama hakuna kemia hakuna mapenzi.”

“Kutokana na utafiti wa kisayansi wa kionairolojia ambayo ni sayansi ya ndoto; wakati tumelala, sehemu yetu ya akili isiyotambua huamka na kuanza kazi; kwa kupangilia mawazo, kuanzia mawazo ya siku iliyopita, na kuimarisha mahusiano baina ya mawazo hayo na matukio ya wakati ujao, huku ikiondoa mawazo yasiyokuwa na maana, kunusuru ubongo usielemewe na msongo. Kazi hiyo hutambuliwa haraka na akili inayotambua, kwa njia ya alamu, lakini akili inayotambua inapagawa kwa sababu haijui akili isiyotambua inamaanisha nini kutuma alamu kama hizo. Kwa hiyo inajaribu kwa kadiri inavyoweza kutunga hadithi kuhusiana na vitu mbalimbali, ambayo baadaye hutafsiriwa kama ndoto. Hii ndiyo sababu tunaota ndoto za ajabu ambazo aghalabu hazina maana yoyote, na hazina maana yoyote kwa sababu hazitakiwi kuwa na maana yoyote, na hazina ujumbe wowote halisi kutoka akilini mwetu. Hayo ni matokeo ya akili kujaribu kusanisi sauti, kutoka katika akili isiyotambua.”

“Mwili wako una uwezo wa kujua kabla yako kitakachotokea baadaye. Kama una njaa kwa mfano, mwili wako utakwambia. Kama una kiu, mwili wako utakwambia. Kama unaumwa, mwili wako utakwambia. Kama kuna kitu kibaya kinatarajia kutokea katika maisha yako au katika maisha ya mtu mwingine, mwili wako utakwambia. Kuwa makini na alamu zinazotoka ndani ya mwili wako, kwani hizo ni ishara za Roho Mtakatifu kukuepusha na matatizo ya dunia hii.”

“She understood that pain was necessary in the world, a sense as critical as sight or hearing. It functioned to keep people safe, a very persuasive stop sign. In a way it was the mother to us all, slapping us back from the hot stove, forcing us to put down the sharp knife, teaching us self-preservation, training care into our bones. Pain was the reason we were alive. It was why as children we didn't toss ourselves down the staircase for the thrill of the ride, didn't stop eating just to bother our parents, didn't nibble off our fingertips to examine our insides. Pain made our existence in this world possible, opened life up to us... Unstoppable pain was different. The sensation in this case was not a mother. It was an abuser. It taught nothing. Instead it wrapped itself around the ribs, settled on the shoulders, a weight to be borne, making it hard to breathe or talk.”

“The human body when kept in an indoor environment of low lux light will not realize that it is daytime, as it cannot sense the increasing levels of daylight that the genetics are accustomed to. As such, by late morning your body may start sending a signal for you to sleep!”

“What you think is an illusion created by your glands, your emotions and, in the last analysis, by the content of your stomach. That gray matter you're so proud of is like a mirror in an amusement park which transmits to you nothing but distorted signals from reality forever beyond your grasp.”

“It is generally recognized that creativity requires leisure, an absence of rush, time for the mind and imagination to float and wander and roam, time for the individual to descend into the depths of his or her psyche, to be available to barely audible signals rustling for attention. Long periods of time may pass in which nothing seems to be happening. But we know that kind of space must be created if the mind is to leap out of its accustomed ruts, to part from the mechanical, the known, the familiar, the standard, and generate a leap into the new.”

“Supposing we knew that up there is some alien civilization and it's sending radio signals our way we should not tell the public where that is. We could say that we've picked up a signal, but we should not tell them where for the simple reason that anybody could commandeer a radio telescope, set themselves up as some self appointed spokesperson of mankind and start beaming all sorts of crazy messages back to the aliens.”

“If you get up in the morning and wear a pair of shorts and a t-shirt and some flip-flops, it's a signal that you might be going to the beach. If you get up in the morning and you wear a breast plate and a back plate and a cape and a pair of golden Satanic horns on your head, it's quite clear that you're doing something else.”

“The neuro-biology of playing a musical instrument is completely scientific, but it’s also an absolute miracle, that you’re taking basically a calcium bucket filled with salt-water that’s run by a weak electrical signal, and you’re using it to move your flesh around in order to manipulate an instrument which disturbs air molecules between you and the listener, and then the listener’s ears picks up those disturbed air molecules which generates a weak electrical signal to their calcium bucket full of salt water, and they feel a feeling. That’s miraculous, and that’s where I live.”

“Every human being lived behind an impenetrable wall of choking mist within which no other but he existed. Occasionally there were the dim signals from deep within the cavern in which another man was located so that each might grope toward the other. Yet because they did not know one another, and could not understand one another, and dared not trust one another, and felt from infancy the terrors and insecurity of that ultimate isolation there was the hunted fear of man for man, the savage rapacity of man toward man.”

“Whenever Alexander heard Philip had taken any town of importance, or won any signal victory, instead of rejoicing at it altogether, he would tell his companions that his father would anticipate everything, and leave him and them no opportunities of performing great and illustrious actions.”

“At the piping of all hands,When the judgment-signal's spread-When the islands and the landsAnd the seas give up their dead,And the South and North shall come;When the sinner is dismayed,And the just man is afraid,Then Heaven be thy aid,Poor Tom.”

“Islam lays great emphasis on the social side of things. Every day, the rich and the poor, the great and the small living in a locality are brought five times in a day in the mosque in the terms of perfect equality of mankind and thereby the foundation of a healthy social relationship is laid and established through prayer. At the end of Ramazan comes the new moon, the crescent as a signal for a mass gathering on the 'Id day again in perfect equality of mankind which effects the entire Muslim world.”

“I had looked forward to old age as a time of quietness, a time to draw my horizons about me, to watch memories ripening in the sunlight of a walled garden. But there is the void over my head and the distance within that the tireless signals come from. And astronaut on impossible journeys to the far side of the self I return with messages I cannot decipher.”