“Mwambie mtoto wako maneno mazuri anapokuwa ananyonya na kukuangalia machoni kwa kukukodolea. Maneno utakayomwambia ndiyo yatakayokuwa msingi wa mawazo yake, na ndiyo yatakayoumba maisha yake atakapokuwa mkubwa.” LifeIdeasWordsChildGood WordsMaishaMawazoMtotoManenoManeno Mazuri Author:Enock Maregesi
“Tengeneza maisha ya mwanao kwa kuongea naye maneno mazuri anapokuwa tumboni mwako, na anapokuwa ananyonya akikuangalia machoni.” LifeGood WordsMaishaMwanaoManeno MazuriYour Child Author:Enock Maregesi