“Kuna vitu vitatu ndani ya mtu: kuna hiari, kuna ufahamu, na kuna mwili. Hiari inatawaliwa na Mungu; ufahamu unatawaliwa na malaika mwema; mwili unatawaliwa na nyota lakini chini ya usimamizi wa malaika wema: malaika wema walisimamisha jua na mwezi kwa ajili ya Yoshua na wana wa Israeli juu ya Gibeoni na katika bonde la Aiyaloni, walirudisha jua nyuma kwa ajili ya Hezekia mfalme wa Yuda na kwa ajili ya nabii Isaya, na waliifanya dunia ‘kuvaa koti’ ghafla wakati wa kusulubiwa kwa Mwanakondoo wa Mungu Anayeondoa Dhambi. Moyoni ni mahali patakatifu. Hata malaika wema hawawezi kuona ndani ya moyo wa mtu, ni Mungu pekee mwenye uwezo wa kufanya hivyo, na alichokihifadhi Mungu ndani ya moyo huo ni hiari ya mtu ya kuchagua mema au mabaya.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
Source: A Bride Most Begrudging
Source: The Rose and the Sword
“Milkshakes make the world seem less shitty.”
Source: We Are the Ants
“That wouldn't be a bad way to die...giving off light for millions of years after you're gone.”
Source: The Serpent King
Source: Before Sunrise & Before Sunset: Two Screenplays
Source: We Are the Ants
Source: About Grace
“It's a date." "It's a cookie." "It's a cookie date.”
Source: We Are the Ants
Source: We Are the Ants
“Bonding over illegal drugs hadn't magically solved our problems,”
Source: We Are the Ants