Quotessence
Home / Quotes / Quote by Jacob Tobia

Quote by Jacob Tobia

“Isn’t it interesting that you don’t even have to say “Duke Men’s Basketball”? You just say “Duke Basketball,” and everyone assumes you’re talking about the men’s team? As if the women’s team doesn’t exist? Isn’t it interesting that you just say “the NBA” and everyone knows you’re talking about the (Men’s) National Basketball Association? But if you want to talk about women’s professional basketball, you have to say “the WNBA”? Anyway.”

Quote by Jacob Tobia

Work

Sissy: A Coming-of-Gender Story

Browse quotes and source details for this work. more

Author

Jacob Tobia

Browse famous quotes and profile details for Jacob Tobia. more

You May Also Like

“Kuna aina tatu za upendo hapa ulimwenguni. Kuna upendo wa ‘agape’, upendo kati ya Mungu na binadamu na kati ya binadamu na binadamu mwenzake lakini hao binadamu shuruti wawe marafiki wa msalaba wa Yesu Kristo. Aidha kuna upendo wa ‘phileo’, upendo kati ya mtu na mtu au kati ya mtu na kitu au kati ya mtu na jambo; na kuna upendo wa ‘philadelphia’, upendo wa wanachama wa mashirika ya siri ambapo mtu humpenda mwenzake kama ndugu yake wakati si ndugu yake. Heri upendo wa ‘agape’ kuliko upendo ajmaina.”

“Mungu si wa kudhihakiwa (Wagalatia 6:7)! Katika maneno kadhaa ya Biblia, anasema bila masihara kabisa kwamba yeye ni Mungu mwenye wivu (Kutoka 34:14; Kumbukumbu la Torati 6:4-15) – Yeye si wa kuabudiwa kama mungu mwingine yeyote yule (Kumbukumbu la Torati 12:3-4, 30-31). Alipowaagiza watu wake wateule Israeli kwa njia ya ibada yake, aliwaonya wasiongeze juu ya kile alichokuwa amewapa wala wasipunguze chochote (Kumbukumbu la Torati 4:2; 12:32; angalia pia Ufunuo 22:18-19). Kwa mfano, angalia hasira yake kuu wakati wana wa Israeli walipojaribu kumwabudu kupitia Ndama wa Dhahabu (Kutoka 32:1-9). Walitangaza kuwa ilikuwa sikukuu ya Bwana (mstali wa 5), lakini Mungu hakulithamini hilo! Alikuwa na hasira kali juu ya ibada ya sanamu za watu, kiasi kwamba alifikiria kuangamiza taifa zima na kuanza upya na familia ya Musa. Mungu huyohuyo – Yahweh, Bwana wa Agano la Kale – akawa Yesu Kristo! Je, Mwokozi wetu atakubali kuabudiwa kwa namna yoyote ambayo misingi yake imejikita kwenye uongo? Hapana! Na hili kwa vyovyote vile limezingatia mila na desturi zisizo za kibiblia (labda tunaweza kusema za “kipagani”) ambazo zimechukua nafasi ya maadhimisho ya kafara na ushindi wa kishindo wa Yesu Kristo.”

“The warrior of light has learned that God uses solitude to teach us how to live with other people. He uses rage to show us the infinite value of peace. He uses boredom to underline the importance of adventure and spontaneity. God uses silence to teach us to use words responsibly. He uses tiredness so that we can understand the value of waking up. He uses illness to underline the blessing of good health. God uses fire to teach us about water. He uses earth so that we can understand the value of air. He uses death to show us the importance of life”