Quotessence
Home / Quotes / Quote by Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi

“Wananchi wanapokosa huduma za muhimu za kijamii (kama vile afya, elimu, chakula, malazi, na ulinzi) ilhali wanalipa kodi, na wameajiri serikali kuwaendeshea nchi kwa kiapo cha uaminifu wa vitabu vitakatifu, watakosa imani na serikali yao! Vilevile wataathirika kiuchumi, kijamii na kisiasa, na vita itaweza kutokea kati ya wananchi na serikali, au wananchi kwa wananchi wataweza hata kujidhuru wenyewe – nikimaanisha vita ya wenyewe kwa wenyewe. Serikali ikifuata maadili ya kazi, na kuacha udikteta na urasimu wa aina yoyote ile, au ikifanya kazi kulingana na misingi ya katiba ya nchi; wananchi watapata huduma za kijamii kama wanavyostahili, na ndoto ya haki na ustawi wa jamii itaweza kutimia. Hata hivyo, serikali inaweza kuwadhulumu wananchi wake kwa sababu ya usalama wao.”

Quote by Enock Maregesi

Author

Enock Maregesi

Browse famous quotes and profile details for Enock Maregesi. more

You May Also Like

“Either I protect my friends and lie low until the fight for Radiasure is over, or I put everyone in harm's way and make sure that horrible drug never gets made again. Maybe if I was only putting myself at risk, I could be okay with it. But I can't make this decision for my friends and family. This is too much for one invisible girl to handle. "What do I do, Mom?" She puts her hands on my shoulders. "Sit down. I'll get the Pop Tarts.”

“You don't need a prophet to wake you up from your bed; you need no archbishop to describe the size of your spoon for you. Remember, you are in the center of management of your own affairs when the time comes for you to act!”