“Wananchi wanapokosa huduma za muhimu za kijamii (kama vile afya, elimu, chakula, malazi, na ulinzi) ilhali wanalipa kodi, na wameajiri serikali kuwaendeshea nchi kwa kiapo cha uaminifu wa vitabu vitakatifu, watakosa imani na serikali yao! Vilevile wataathirika kiuchumi, kijamii na kisiasa, na vita itaweza kutokea kati ya wananchi na serikali, au wananchi kwa wananchi wataweza hata kujidhuru wenyewe – nikimaanisha vita ya wenyewe kwa wenyewe. Serikali ikifuata maadili ya kazi, na kuacha udikteta na urasimu wa aina yoyote ile, au ikifanya kazi kulingana na misingi ya katiba ya nchi; wananchi watapata huduma za kijamii kama wanavyostahili, na ndoto ya haki na ustawi wa jamii itaweza kutimia. Hata hivyo, serikali inaweza kuwadhulumu wananchi wake kwa sababu ya usalama wao.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“Počkej. To mi chceš naznačit, že došly ředkvičky?”
Source: Čarodějčina kletba
Source: From Fame to Shame
Source: The Magician's Elephant
Source: Magic and Murder Among the Dwarves
Source: A touch, a tear, a tempest
Source: The Great Hand Book of Quotes
Source: Among Others