“Mzazi wako akikutuma kufanya jambo jema ukakubali umemheshimu. Akikutuma kufanya jambo jema ukakataa umemdharau. Lakini, mzazi wako akikutuma kufanya jambo baya ukakubali umemdharau. Akikutuma kufanya jambo baya ukakataa umemheshimu. Hivyo, mheshimu mzazi wako katika mambo mema na katika mambo mabaya.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
Source: Ancient Egyptian Literature, Volume I: The Old and Middle Kingdoms
Source: Sightwitch