Quotessence
Home / Quotes / Quote by Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi

“Mungu anataka tujifunike kwa ngao yake. Yaani, tuwe na imani iliyokomaa katika Bwana na yeye atatufunika. Maana ya kauli hiyo ni kwamba kila kiungo cha miili yetu kuanzia unyayo hadi kichwa lazima kifunikwe kwa silaha ya Mungu, ambayo Mungu anaiita panoplia. Panoplia haimo katika kamusi ya Kiswahili au Kiingereza, lakini maana yake ni ‘ngao kamili ya Mungu’. Hii si tu silaha ya Mungu. Ni silaha kamili ya Mungu tunayotakiwa kujifunika kwayo.”

Quote by Enock Maregesi

Author

Enock Maregesi

Browse famous quotes and profile details for Enock Maregesi. more

You May Also Like

“We can say the brotherhood of man, and pretend that we include the sisterhood of women, but we know that we don't. Folklore has it that women only congregate to bitch an absent member of their group, and continue to do so because they are to well aware of the consequences if they stay away. It's meant to be a joke, but like jokes about mothers-in-law it is founded in bitter truth.”