“Mungu anataka tujifunike kwa ngao yake. Yaani, tuwe na imani iliyokomaa katika Bwana na yeye atatufunika. Maana ya kauli hiyo ni kwamba kila kiungo cha miili yetu kuanzia unyayo hadi kichwa lazima kifunikwe kwa silaha ya Mungu, ambayo Mungu anaiita panoplia. Panoplia haimo katika kamusi ya Kiswahili au Kiingereza, lakini maana yake ni ‘ngao kamili ya Mungu’. Hii si tu silaha ya Mungu. Ni silaha kamili ya Mungu tunayotakiwa kujifunika kwayo.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“I am the Shield of the Innocent, the Sword to the Darkness.”
Source: M.A.D.E. Chronicles: The Ghost Indwelling
“A life of conflict and greediness causes a person to suffer from the rheumatism of sadness.”
Source: Dead Toad Scrolls
“You can drop out of school but you cannot drop out of life.”
Source: the female eunuch
Source: the female eunuch
“Successful writing is a slow, daily, meticulous form of mental illness.”
Source: Mawaddah Ilmi Ingin Pulang