“Wafuasi wa Yesu Kristo watapata taabu kubwa ambayo haijawahi kutokea. Yeyote atakayempinga Mpinga Kristo, yeyote atakayepinga utawala wa Mpinga Kristo, atakiona cha mtema kuni. Watu wengi watauwawa kwa sababu ya ufuasi wao kwa Masihi. Wale watakaokuwa na talanta ya kuhubiri watauwawa kinyama, hadharani, ili liwe fundisho kwa wafuasi wengine wa Yesu Kristo. Miongoni mwa wale watakaokuwa wanahubiri injili ya kweli ya ufalme wa Mungu bila woga wa aina yoyote ile, atakuwemo Eliya na Enock. Eliya na Enock Mungu aliwachukua bila kuonja mauti, kama akiba, kwa sababu ya kipindi hicho cha Taabu ya Yakobo. Eliya na Enock wataibuka ghafla jijini Yerusalemu na kuanza kuhubiri injili ya kumpinga Mpinga Kristo. Kwa vile hawataogopa chochote, wala hawatamwogopa yeyote, serikali ya Israeli itawakamata na kuwatesa lakini hawatanyamaza.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“If fear is going to stop us, we should concede failure right now.”
Source: Hunting for Spring
Source: FLAME: Chronicles of a Teenage Caster
“Hoping and imagining and believing in magic had always been like breathing to Evangeline.”
Source: A Long Way Gone: Memoirs of a Boy Soldier
Source: Ujasiri
Source: Teenagers War: Vietnam 1969
“Children can be murderers... Little boys can be monsters”
Source: The Poppy War