“Kwa vile taifa la Israeli lilipoteza haki yake ya upendeleo, Mungu aliahidi kuliharibu kama alivyoyaharibu mataifa ya Waamori na Wamisri. Watu wa Israeli walishafika mbali sana kiasi cha Mungu kutokutegemea tena toba kutoka kwao. Kuna muda wa fursa na kuna muda ambao fursa haipo tena. Nafasi ya Israeli ya kutubu ilishafikia mwisho. Kama alivyokuwa amepigana vita vyao kwa ajili yao katika siku za nyuma sasa Mungu alipigana nao. Pamoja na ujasiri na utaalamu wao wote wasingependelewa tena. Mambo ambayo mwanzo yaliipa Israeli nguvu katika vita yaliwageukia.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
Source: Stones For Bread
Source: The Egyptologist
Source: Beer in the Snooker Club
Source: Angels & Demons
Source: لا حرب في أكتوبر ولا سلام
“بعد كده أى حد مصرى ماتسألهوش مات إزاى ... إسألوه كنت عايش إزاي؟”
Source: ما فعله العيان بالميت
Source: الدين والديناميت
Source: Making a Meal of It: Rethinking the Theology of the Lord's Supper