“Soma sana. Andika sana. Ongea na watu kuhusu mambo ya muhimu unayoyafikiria. Tumia intaneti na maktaba kwa makini kwa ajili ya utafiti, kwa sababu habari nyingi za intaneti na maktaba haziaminiki. Kama una wazo kichwani mwako lizungumze kwa watu kama mazungumzo ya kawaida, ili upate maoni yao ya dhati, bila kusahau kuandika kwa siri wazo lolote jipya utakalolipata kutokana na mazungumzo hayo. Maana Mungu anaweza kuwasiliana na mtu mwingine yeyote yule akupe wazo, litakaloongeza maana zaidi katika mawazo ambayo tayari unayo.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
Source: Soulhome
Source: Launch Your Inner Entrepreneur: 10 Mindset Shifts for Women to Take Action, Unleash Creativity, and Achieve Financial Success
Source: Sensual Lifestyle
Source: Create Your Vision Workbook: 4 Steps to Create a Powerful Vision for The Life You Want
Source: Create Your Vision Workbook: 4 Steps to Create a Powerful Vision for The Life You Want
Source: Create Your Vision Workbook: 4 Steps to Create a Powerful Vision for The Life You Want