“John Murphy amefariki dunia. Ndege aliyotoka nayo hapa, Dar es Salaam, ndiyo aliyotoka nayo Paris na ndiyo hiyo iliyoanguka katika mazingira ya kutatanisha. Watu waliobahatika kuing’amua fununu hii ni wachache na ambao hivi sasa hawajiwezi kabisa, akiwemo kamishna wetu wa kanda Profesa Mafuru. Profesa yuko mahututi. Ameshtuka baada ya kusikia taarifa hizo katika redio ya hapa. Yuko chini ya uangalizi mkali wa madaktari. Mungu aiweke roho ya John Murphy, shujaa wa karne, mahali pema peponi. Bwana alitoa na Bwana ametwaa. Jina la Bwana lihimidiwe.”
Quote by Enock Maregesi
Book:Kolonia Santita
Work
Kolonia Santita
Browse quotes and source details for this work. more
Author
You May Also Like
Source: A Swim in a Pond in the Rain
Source: Best Friends, Worst Enemies: Understanding the Social Lives of Children
Source: Fabian: die Geschichte eines Moralisten
Source: Himmelblau
Source: Warum noch lernen? Wie Schule in Zeiten von KI, Krisen und sozialer Ungerechtigkeit aussehen muss
“I have forgotten all about my school days. I have a vague impression that they were detestable.”
Source: An Ideal Husband