Quotessence
Home / Topics / Jesus Christ Of Nazareth Quotes

Jesus Christ Of Nazareth Quotes

Browse 16 quotes about Jesus Christ Of Nazareth.

Jesus Christ Of Nazareth Quotes

“Kuna vita za aina mbili zinazopiganwa hapa duniani: vita ya maisha na vita ya dhambi. Unaweza kushinda vita ya maisha (maisha ya raha) lakini ukashindwa vita ya dhambi (maisha ya laana). Kushinda vita ya dhambi ni lazima umkaribishe Mwana wa Mungu Mfalme wa Amani, Yesu Kristo wa Nazareti Aliye Hai, kama Bwana na Mwokozi wa maisha yako.”

“To engage Jews excluded by the harsh and judgmental elite, Jesus insisted on preaching out in nature to mass audiences. To renew appreciation for a loving and compassionate Divine, Jesus sat alongside the poor and the outcast, most notably lepers.”

“The Qur’an calls Jesus Al-Masih, the Messiah—literally, “the anointed one” or “the one who wipes away injustice.” Rather than adopting the Jewish framing of the messiah as a political redeemer, the Qur’anic understanding of the messiah is a reformer anointed by God to revive the theory of Abraham and the structure of Moses. Or, in a related sense, as a great clarifier who wipes away the filmy haze obscuring clear understanding.”

“Yesu Kristo wa Nazarethi ni mtu mashuhuri zaidi kuliko wote kuwahi kukanyaga ardhi ya dunia hii. Alikufa majira ya saa 9 kamili za mchana, siku ya Jumatano, katika kipindi cha demani cha AD 31. Saa chache baadaye, jua lilipokuwa likizama, alilazwa katika kaburi jipya la Yusufu wa Arimathaya. Katika siku ya kawaida ya Sabato, Jumamosi, siku tatu kamili baada ya mazishi yake, Mungu Baba alimfufua Mtoto Wake kwa ajili ya uzima wa milele.”