Quotessence
Home / Quotes / Quote by Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi

“Kila mmoja wetu ana kitu cha kutoa. Wengine wana pesa, wengine wana vipaji, wengine wana muda. Vipaji vyote tulivyopewa na Mungu, vikubwa au vidogo, hatuna budi kuvitumia kiukarimu kwa watu wanaovihitaji. Tunapofanya hivyo tunaleta mabadiliko katika dunia kwa ajili ya watu fulani, na tunapata maana halisi ya maisha na toshelezo la moyo katika maisha yetu.”

Quote by Enock Maregesi

Author

Enock Maregesi

Browse famous quotes and profile details for Enock Maregesi. more

You May Also Like

“This way of behaving, this way of feeling, so hysterical, so sad, when someone has died, I don't like at all and would like to avoid. It's not as if the whole thing has not happened before, it's not as if people have not been dying all along and each person left behind is the first person ever left behind in the world. What to make of it? Why can’t everybody just get used to it? People are born and they just can’t go on and on, but it is so hard, so hard for the people left behind; it’s so hard to see them go, as if it had never happened before, and so hard it could not happen to anyone else, no one but you could survive this kind of loss, seeing someone go, seeing them leave you behind; you don't want to go with them, you only don't want them to go.”