Quotessence
Home / Quotes / Quote by Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi

“Majina ya vitabu yanapaswa kuchaguliwa kwa mantiki na kwa makini ya hali ya juu mno, kwa sababu ni miongoni mwa vitu vya kwanza watu wanavyoviona na kuvisoma. Watu wakivutiwa na jina la kitabu, au mwandishi; kitu cha pili watakachovutiwa kuangalia ni dibaji, kusudi wasome muhtasari wa kitabu kizima. Kwa hiyo dibaji inapaswa iandikwe kwa mantiki na kwa makini ileile iliyotumika katika kuchagua jina la kitabu. Lengo la jina la kitabu na dibaji ni kuishawishi hadhira kusoma kitabu na kukifurahia.”

Quote by Enock Maregesi

Author

Enock Maregesi

Browse famous quotes and profile details for Enock Maregesi. more

You May Also Like

“Braith turned and saw three of her cousins sunning themselves on boulders. Like lizards. Lizards in human form. “What are you doing?” Braith asked. “Enjoying the suns,” replied one. “It gives our scales a lovely bright hue,” said another. Braith blinked. “Except you’re all in your human form. So how does that help your scales?” They stared at her for several seconds before one stated, “You’re a bit of a know-it-all, aren’t you?” “How is that . . .” Braith shook her head. She wouldn’t go from arguing with one idiot to arguing with three.”

“It is not at all coincidental that Darwinian psychology has the same difficulty explaining the unity and integration of human reasoning as Darwinian biology has explaining the unity and integration of irreducibly complex functions. Practical and theoretical reasoning is often irreducibly complex. A given argument has several well-matched, interacting reasons, and the removal of any one of them makes the argument break down.”