“Majina ya vitabu yanapaswa kuchaguliwa kwa mantiki na kwa makini ya hali ya juu mno, kwa sababu ni miongoni mwa vitu vya kwanza watu wanavyoviona na kuvisoma. Watu wakivutiwa na jina la kitabu, au mwandishi; kitu cha pili watakachovutiwa kuangalia ni dibaji, kusudi wasome muhtasari wa kitabu kizima. Kwa hiyo dibaji inapaswa iandikwe kwa mantiki na kwa makini ileile iliyotumika katika kuchagua jina la kitabu. Lengo la jina la kitabu na dibaji ni kuishawishi hadhira kusoma kitabu na kukifurahia.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“No matter what I feel, I hold the assurance that God never leaves me.”
Source: The Christian Atheist: Believing in God But Living as If He Doesn't Exist
Source: A Tale of Two Dragons
“Music enables mind to compose things in the outer limit of logic.”
Source: Master of Stupidity
Source: Pt. Kanhaiya Lal Misra - My Father
“A good judge is not one who is impartial, but one who has prejudice for good.”
Source: Agents Under Fire: Materialism and the Rationality of Science