Quotessence
Home / Quotes / Quote by Santosh Thankachan

Quote by Santosh Thankachan

“We are eager to teach our children to go in the way they should go (Proverbs 22:6) but sometimes so much unwilling to go that way first.”

Quote by Santosh Thankachan

Author

Santosh Thankachan

Browse famous quotes and profile details for Santosh Thankachan. more

You May Also Like

“Tupo watu takriban bilioni saba katika dunia hii. Kila mtu ni wa kipekee. Mathalani, wewe ni tofauti na baba yako au mama yako au mtu mwingine yoyote yule. Kila mtu aliumbwa kivyake na Mwenyezi Mungu. Kila mtu ana nafasi ya kwake mwenyewe aliyopangiwa na Mungu hapa duniani. Haijalishi wewe ni mwanamke au mwanamume, mweupe au mweusi, mfupi au mrefu, mzuri au mbaya, una nafasi katika nchi na dunia hii. Unachotakiwa kufanya ni kuamka, kufumbua macho na kuujua ukweli. Tafuta maarifa katika Biblia kama wewe ni Mkristo. Tafuta maarifa katika Kurani kama wewe ni Mwislamu. Tafuta maarifa katika Yoga kama wewe haumwamini Mungu. Ukishaamka na kuujua ukweli, ukishapata nafasi katika nchi yako, kuwa kiongozi na mkarimu kwa wenzako. Jifunze kutoka kwa wengine ndani na nje ya tasnia yako. Usiwe mchoyo wa maarifa. Kuwa mwadilifu. Ukifanya hivyo utafanikiwa zaidi, utaipa heshima tasnia yako, na utaacha alama katika dunia baada ya kuondoka. Kuacha alama katika dunia si lazima upate nafasi katika dunia. Kuacha alama katika dunia acha alama katika nchi yako.”

“Or just claim it come from Leviticus since nobody ever read Leviticus. This is how you know. Nobody who get to the end of Leviticus can still take that book seriously. Even in a book full of it, that book is mad as shit. Don't lie with man as with woman, sure I can run with that reasoning. But don't eat crab? Not even with the nice, soft, sweet roast yam? And why kill a man for that? And trust me, the last thing any man who rape my daughter going to get to do is marry her. How, when I slice him up piece by piece, keeping him alive for all of it and have him watch me feed him foot to stray dog?”