“Kwa mfano, uko kwenye mashindano ya mbio za mita 100. Utakapofika kwenye kamba, mwisho wa hizo mita 100, utakuwa umechoka sana. Lakini kocha anakuhimiza uendelee mbele mita nyingine 50! Unaweza kufika ukiwa mzima au unaweza kufika ukiwa umezimia. Lakini usijali. Ukiendelea mita nyingine 50 utakuwa umetumia uwezo wako wote uliopewa na Mwenyezi Mungu. Ukitumia kanuni hiyo katika maisha yako ya kawaida utaweza kufanikiwa.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
Source: A History of the World in 6 Glasses
Source: Starbucked: A Double Tall Tale of Caffeine, Commerce, and Culture
Source: The Golem
Source: First Impressions of England and its People
Source: Unchanged
Source: Unchanged
Source: Unchanged