Quotessence
Home / Quotes / Quote by Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi

“Ningependa – maisha yangu yatakapokoma hapa duniani – kukumbukwa kama mtu aliyejitahidi kwa kadiri ya uwezo wake wote, kutumia kipaji alichopewa na Mungu.”

Quote by Enock Maregesi

Author

Enock Maregesi

Browse famous quotes and profile details for Enock Maregesi. more

You May Also Like

“Sina jinsi. Nguzo ya maisha yangu ni historia ya maisha yangu. Historia ya maisha yangu ni urithi wa watu waliojifunza kusema hapana kwa ndiyo nyingi – waliojitolea vitu vingi katika maisha yao kunifikisha hapa nilipo leo – walionifundisha falsafa ya kushindwa si hiari. Siri ya mafanikio yangu ni kujitahidi kwa kadiri ya uwezo wangu wote. Hiyo wote katika herufi kubwa. Wote katika herufi kubwa (WOTE) si neno la kawaida falau katika nukuu hii ya mafanikio. Linamaanisha kujitahidi kwa kadiri ya uwezo wako wote uliopewa na Mwenyezi Mungu. Watu wengi hujitahidi kwa kadiri ya uwezo wao. Usijitahidi kwa kadiri ya uwezo wako. Jitahidi kwa kadiri ya uwezo wako WOTE.”

“All the values turn upside down with the years, and what was considered a privilege in the Special Purpose Camp of the twenties—to wear government-issue clothing—would become an annoyance in the Special Camp of the forties: there the privilege would be not to wear government-issue clothing, but to wear at least something of one's own, even just a cap. The reason here was not economic only but was a cry of the whole epoch: one decade saw as its ideal how to join in the common lot, and the other how to get away from it.”

“It’s not the physical things that you’re without that make it so hard to be incarcerated for life. It’s the fact that you’re helpless to take care of your family when they’re sick, to raise your children, to help in their times of struggle, and to give back to your community. Instead you’re a burden, a charity case, someone to pity. It strips you of your self-esteem and your self-respect.”

“We wanted to recreate inside ourselves our former front-line self-assurance. We were pups and we did not understand to what extent the Archipelago was unlike the front, to what degree its war of siege was more difficult than our war of explosives.”

“When a guy goes out there and kills somebody, he might look at himself as the winner. But in truth he’s also a loser, because now he would be lost in the system. If you were listening to the news recently, some people you know well are doing 45, and 64 years for murder. They might have won their fight, but they lost their lives to the system. Franco ‘Co’ Bethel, former gang leader and right hand man to Scrooge.”