Quotessence
Home / Quotes / Quote by Christian Simamora

Quote by Christian Simamora

“Gue memang kecewa dengan sikap lo tempo hari. But that’s okay. Gue ambil positifnya aja: lo memang nggak nerima cinta gue, tapi lo juga nggak nolak gue. Jadi, gue putuskan untuk nggak menyerah tentang kita.”

Quote by Christian Simamora

Work

Meet Lame

Browse quotes and source details for this work. more

Author

Christian Simamora

Browse famous quotes and profile details for Christian Simamora. more

You May Also Like

“To be joyous of heart is to hold an optimistic outlook, to see adversity as opportunity, to see failure as the starting point of success, to view our stubbed toes as the release of acupuncture points, to wake with a feeling of gratitude, and to sleep with a sustaining, unfaltering trust in the Universe of which we are a part. The person with a joyous heart is a treasure to be with, a wellspring of inspiration, and a fit companion. When we are joyous of heart, we hear a resonance in the songs of the birds, see resonance in the opening of a flower, and feel it in the pressure of a friend’s hand.”

“You know you’re not perfect and that’s good. Perfect is boring. You have a lot to offer. A lot more to experience and so many things to learn. There are more pages to fill up so act your age.”

“Jina langu ni Enock Maregesi na ningependa kukwambia kisa kidogo kuhusiana na bibi yangu, Martha Maregesi. Mwanamke huyu alikuwa mke mwenye upendo usiokuwa na masharti yoyote. Alikuwa mama na bibi aliyefundisha familia yake umuhimu wa kujitolea na umuhimu wa uvumilivu. Ijapokuwa hakupendelea sana kujizungumzia mwenyewe, ningependa kukusimulia kisa kidogo kuhusiana na hadithi ya maisha ya mwanamke huyu wa ajabu katika maisha yangu. Bibi yangu alizaliwa katika Kitongoji cha Butimba, Kijiji cha Kome, Kata ya Bwasi, Tarafa ya Nyanja (Majita), Wilaya ya Musoma Vijijini, Mkoa wa Mara, katika familia ya watoto kumi, mwaka 1930. Alisoma katika Shule ya Msingi ya Kome ambako alipata elimu ya awali na msingi na pia elimu ya kiroho kwani shule yao ilikuwa ya madhehebu ya Kisabato. Aliolewa na Bwana Maregesi Musyangi Sabi mwaka 1946, na kufanikiwa kupata watoto watatu; wa kiume wakiwa wawili na wa kike mmoja. Matatizo hasa ya bibi yalianza mwaka 2005, alipougua kiharusi akiwa nyumbani kwake huko Musoma. Hata hivyo alitibiwa hapo Musoma na Dar es Salaam akapona na kuwa mwenye afya ya kawaida. Lakini tarehe 19/10/2014 alipatwa tena na kiharusi na kulazwa tena katika Hospitali ya Mkoa ya Musoma, ila akajisikia nafuu na kuruhusiwa kurudi nyumbani – lakini kwa maagizo ya daktari ya kuendelea na dawa akiwa nje ya hospitali. Tarehe 29/10/2014 alirudi tena Hospitali ya Mkoa ya Musoma kwa tiba zaidi, lakini tarehe 4/11/2014 saa 7:55 usiku akafariki dunia; akiwa amezungukwa na familia yake. Dunia ina watu wachache sana wenye matumaini na misimamo ya kutegemea mazuri, na wachache zaidi ambao wako tayari kugawa matumaini na misimamo hiyo kwa watu wengine. Nitajisikia furaha siku zote kwamba miongoni mwa watu hao wachache, hata bibi yangu alikuwemo. Msalaba uliwekwa wakfu na Mwenyezi Mungu baada ya mwili wa Yesu Kristo kuning’inizwa juu yake. Kwa kuwa bibi yangu ametanguliwa na msalaba, msalaba utamwongoza mahali pa kwenda.”