“Unaweza kuwa umeomba kuhusu jambo fulani kwa muda mrefu bila majibu, lakini siku moja ghafla ukajibiwa wakati umejisahau. Kwa nini? Kwa sababu Mungu hufanya kazi zake kwa siri. Ukiomba jambo kutoka kwa Mungu, huku ukiwa huna kinyongo na mtu yeyote na bila moyo wako kusita wakati ukiomba, tambua katika moyo wako kwamba tayari umeshajibiwa. Kisha lipotezee, hilo jambo, kila siku, usiwe unalikumbukakumbuka, hadi Mungu mwenyewe atakapokujibu. Hata Yesu atakaporudi kila mtu atakuwa amejisahau.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
Source: Get Out of Here Alive: Inner Alchemy & Immortality
Source: The Brief Wondrous Life of Oscar Wao
Source: Pegasus
Source: A Memoir of Memories and Memes
Source: The Bright Idea Box: A Proven System to Drive Employee Engagement and Innovation
“You're better than that. Start giving your customer solutions rather than just information.”