“Hakuna mahali popote katika Agano Jipya ambapo sheria ya Sabato imekomeshwa (Kutoka 31:12-17), kwani Mungu alianzisha Sabato kwa ajili ya wanadamu wote (Marko 2:27). Kinyume cha hapo, Yesu aliitunza (Luka 4:16), Paulo aliitunza (Matendo 17:2) na Wamataifa waliitunza pia (Matendo 13:42-44; 16:13)! Mwandishi wa Waebrania anaandika bila kificho, “Basi, imesalia raha ya Sabato kwa watu wa Mungu” (Waebrania 4:9).”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
Source: Uncanny Magazine Issue 3: March/April 2015
Source: Inanna Rising: Women Forged in Fire
Source: Resident Mad Scientist
Source: My Sociopath: From Sociopath Parents to Loving Sociopaths to Waking Up
Source: The Price of Experience: Money, Power, Image, and Murder in Los Angeles
“The only difference between bright white and pitch black is illumination...”
Source: The King's Maiden
“Trust me, doll. God doesn’t want to see what I’m about to do to you.”
Source: Revenge Saints - A Dark Reverse Harem, Post-Apocalyptic Romance: BloodHawks Duet 2
Source: Killer of Mine