“Katika maisha, kila mtu ni kiongozi na ni mfuasi pia kutegemeana na hali. Kiongozi hatakiwi kuwa na kiburi, wala hatakiwi kuwa na roho yenye kutakabari, roho ya jeuri na kuona wengine si kitu, kwa sababu kiburi na roho yenye kutakabari huleta maangamizi na maanguko makubwa katika jamii. Viongozi wa mataifa wana jukumu kubwa kwa sababu kama wataruhusu maadili yaanguke, nguvu zao zote za kijeshi na kiteknolojia hazitawasaidia. Sifa ya kwanza ya kiongozi ni kuwa na maadili mema.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
Source: Small Things Like These
Source: The Rest of Us Just Live Here
“Mereka bukan orang sibuk-sibuk. Mereka hanyalah orang-orang kurang ajar.”
Source: You Are Here (For Now): A Guide to Finding Your Way
“Percayalah pada dirimu sendiri seperti kamu percaya pada orang-orang yang kamu cintai.”
Source: You Are Here (For Now): A Guide to Finding Your Way
Source: Jack Buck: "That's a Winner"