“Kuwa na huruma kwa malaika anayekulinda ni kujifunika kwa silaha kamili ya Mungu. Ukijifunika kwa panoplia utamrahisishia kazi malaika wako, aliyepewa jukumu na Mwenyezi Mungu kukulinda.” CompassionAngelMalaikaHurumaNgao Kamili Ya MunguPanopliaFull Armor Of GodSilaha Kamili Ya Mungu Author:Enock Maregesi