“Nini kingetokea kama Adamu na Hawa wasingekula tunda la Mti wa Maarifa ya Mema na Mabaya mpaka siku ya Sabato? Mungu angewaruhusu kula na lengo la uumbaji wa Mungu lingekamilika. Wanadamu wakifuata Amri Kumi za Mungu katika maisha yao watakuwa na uwezo maalumu ambao baadaye utawawezesha, kupitia Roho Mtakatifu, kuwa na maarifa ya siri ya uumbaji wa Mungu.” MenLifeGodKnowledgeCreationCapacityFruitHoly SpiritAdamSabbathTen CommandmentsMunguMaishaEveMaarifaSabatoUwezoWanadamuRoho MtakatifuGod S CreationAdamuHawaAmri Kumi Za MunguTundaUumbajiUumbaji Wa MunguMti Wa Maarifa Wa Mema Na Mabaya Author:Enock Maregesi