“Lengo la kuabudu ni kumtukuza, kumheshimu, kumsifia, kumfurahia, na kumpendeza Mungu. Ibada yetu lazima ionyeshe mapenzi ya kweli na uaminifu mkubwa kwa Mungu kwa ajili ya wema na rehema ambavyo ametupa kupitia Mwanaye wa Pekee aliyekufa msalabani, ili kutuokoa kutoka ubinafsini.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“With due respect, Truck-off.”
Source: You By You
Source: Release The Ink
Source: The Methods Of Lady Walderhurst