“Pesa itolewe kwa masharti au bila masharti chukua, kwani huyo aliyeitoa si yake. Benki, kwa mfano, ikitaka kukupa mkopo itakuwa na masharti yake; chukua, iwapo utakubaliana na masharti hayo. Jambazi akikupa pesa ili ukafanyie ujambazi chukua pia. Lakini hiyo usiipeleke kanisani, ipeleke serikalini. Serikali itajua jinsi ya kupambana na huyo aliyekupa hiyo pesa, na hiyo pesa itaendelea kuimarisha ulinzi na usalama nchini. Pesa kuendelea kuimarisha ulinzi na usalama nchini ni sawa na zaka, au sadaka, na wewe utabarikiwa kwa kupata nyingine.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“I probably will never get another loan in my life for anything.”
Source: Outsmart the Money Magicians: Maximize Your Net Worth by Seeing Through the Most Powerful Illusions Performed by Wall Street and the IRS
Source: The Radicalist
Source: Smoke Gets in Your Eyes & Other Lessons from the Crematory
Source: The Slaves of Solitude
Source: Yakuza Moon: Memoar seorang Putri Gangster Jepang