“Kitalifa ni utiifu kamili, woga, umbali (kwa maana ya kuwa mbali na biashara ya mamafia wengine mpaka kwa makubaliano maalumu) na nidhamu ya kutoshirikiana na mamlaka zote za serikali. Ukishtakiwa kwa kosa la madawa au ujambazi ambalo hukufanya, utatumikia kifungo mpaka mwisho bila kushirikiana na polisi (kwa maana ya kutaja aliyehusika au waliohusika na uhalifu huo) hata kama aliyehusika au waliohusika hana au hawana uhusiano wowote na Kolonia Santita. Falsafa ya Kitalifa ni Sheria ya Kitalifa ya Kiapo cha Swastika cha Kolonia Santita. Na adhabu ya kuvunja sheria hiyo ni kifo.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“Bring Heaven on Earth daily.”
Source: MDP Ashram: Bringer of ARSE
Source: End of Days
Source: When I Don't Desire God: How to Fight For Joy
“You don't want captains in the army who know too much or think too much.”
Source: Claudius the God and His Wife Messalina
Source: The Writing Life
Source: #iAm16iCan
Source: The Writing Life
Source: The Pursuit of Holiness