“Lakini damu na maji vina maana kubwa katika maisha yetu. Biblia inaeleza kuwa wakati Yesu Kristo akiwa msalabani alichomwa ubavu wake kwa mkuki, ikatoka damu na maji, ndipo zilipozaliwa sakramenti za kanisa. Aidha, tukio la askari wa Kirumi kumchoma Yesu na damu na maji kutoka lina maana nyingine kubwa katika maisha yetu. Hapo ndipo Ukristo ulipozaliwa; na ni kwa sababu hiyo mwanamke anapojifungua hutoa damu na maji kutokana na kupasuka kwa utando wa mfuko wa uzazi. Kutokana na hayo, Wakristo wanapoabudu msalaba wanaeleza umuhimu wa matukio na mafundisho waliyopata kupitia mateso aliyopata kiongozi wao na kuwa, msalaba ni chombo cha ukombozi.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“The answer is always "No" until you ask. - Ref James 4:2”
Source: DAILY VICTORY: 40 Day Devotional Inspired by the United States Armed Forces
Source: Become a Better You
Source: Become a Better You
“God is a comedian playing to an audience that is too afraid to laugh.”
Source: The Better Angels of Our Nature: Why Violence Has Declined
“No Quran, no Bible, no Gita, no Cow, is greater than the human self.”
Source: The Stranger in the Woods: The Extraordinary Story of the Last True Hermit
Source: Clear Minds & Dirty Feet: A Reason To Hope, A Message To Share