“Muda haututoshi. Tunajua mizigo hiyo ni ya nani. Tunajua nani aliua maafisa wetu wa polisi na maafisa wa polisi wa Meksiko na Marekani na wapita njia na kwa nini alifanya hivyo. Hatujui kwa hakika imefichwa wapi. Kuwakamata wahusika ni kazi nzito, ndugu wajumbe. Inahitaji ujasiri wa kupindukia … na kujitoa mhanga. Kuzuia mizigo ya CS-14, na kumkamata kiongozi wake, lazima tupigane kufa na kupona. Kwa siku kumi shehena zikamatwe na kuharibiwa, na viongozi wa Santita (wote) wakamatwe na kuwekwa chini ya sheria.”
Quote by Enock Maregesi
Book:Kolonia Santita
Work
Kolonia Santita
Browse quotes and source details for this work. more
Author
You May Also Like
Source: Sweetest Sorrow
Source: Flat-Out Matt
Source: In The Crossfire
Source: Love is a Mix Tape: Life and Loss, One Song at a Time
Source: The Psychology of Man's Possible Evolution
“What could you do in your past life to come back as a weevil in beans? Just curious.”