“Maumivu ya matatizo ya yule aliyekukosea hayana tofauti na maumivu ya matatizo ya wewe uliyekosewa. Adui yako (kwa mfano) akifiwa na mke aliyempenda sana, atajisikia vibaya kama utakavyojisikia vibaya kufiwa na mke uliyempenda sana. Kuwa na huruma kwa waliokukosea, wakati wa shida.” PeopleLoveGodPainHappinessHumanityCompassionEnemyWifeTroubleMercyDifficultyAffectionFeel GoodGenerosityEaseNeedSympathyProblemsBreakdownLukeMunguWatuLukaMatatizo100AduiFeel BadShidaHurumaMkeMaumivuAdui YakoHasimuyoLuka 6 27 36Your Enemy Author:Enock Maregesi
“Mungu alisema tupendane katika shida na raha; Luka 6:27-36. Katika matatizo mpende hasimuyo. Maumivu ya watu hufanana.” PeopleLoveGodPainHappinessEnemyTroubleDifficultyEaseProblemsBreakdownLukeMunguWatuLukaMatatizo100AduiMaumivuAdui YakoHasimuyoLuka 6 27 36Your Enemy Author:Enock Maregesi