“Rais wa Tume ya Dunia hakuchaguliwa kupata sifa ya madaraka na hivyo kunyanyasa na kudharau watu kwa sababu ya madaraka yake, bali alichaguliwa kuleta mabadiliko katika dunia kama Rais wa Tume ya Dunia kutetea afya na amani ya dunia nzima kwa unyenyekevu na heshima kwa binadamu wenzake.” HumansPowerRespectHumblenessBinadamuHeshimaRais Wa Tume Ya DuniaMadarakaUnyenyekevuAttributes Of PowerSifa Ya MadarakaChanges In The WorldDefending Health And World PeaceExploit And Despise PeopleKunyanyasa Na Kudharau WatuKutetea Afya Na Amani Ya DuniaMabadiliko Katika Dunia Author:Enock Maregesi