“Neno moja kutoka mdomoni mwako linaweza kukuletea madhara makubwa. Fikiria kwanza maana ya kitu unachofikiria (ambacho tayari umekisema kichwani mwako) kabla ya kukisema tena mdomoni mwako. Wenye hekima huzungumza kwa sababu wana kitu cha kuzungumza. Wapumbavu hubwabwaja.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“Mungu alitupa masikio mawili na ulimi mmoja. Tunatakiwa kusikiliza zaidi kuliko kuongea.”
Source: And That’s Why I’m Single
“Lord, keep Your arm around my shoulder and Your hand over my mouth. Amen!”
Source: The Great Hand Book of Quotes
“A woman is always better in everything with the mouth; she talks a lot.”
Source: LOVE, HATRED AND MADNESS
Source: Become a Better You