“Kuwepo kwa Mti wa Uzima wa Milele katika Bustani ya Edeni (pamoja) na Mti wa Maarifa ya Mema na Mabaya inamaanisha, Adamu na Hawa walikuwa hai kiroho mpaka walipokula tunda la mti wa katikati ambapo hali yao ya maisha ilibadilika. Adamu na Hawa walikufa lakini hawakufa – walikufa baadaye kabisa. Hii inamaanisha kwamba (haya ni mawazo yangu tu) mtu anapokufa anakuwa amekula tunda la mti wa katikati, litakalomwezesha kuendelea kuishi katika hali nyingine ya maisha ambayo sisi hatuijui.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
Source: Eichmann in Jerusalem: A Report on the Banality of Evil
Source: Eichmann in Jerusalem: A Report on the Banality of Evil
“You honor yourself by acting with dignity and composure.”
Source: Patience: The Art of Peaceful Living
Source: The Gulag Archipelago
Source: Elizabeth Costello
Source: American Psycho
Source: Stasiland: Stories From Behind The Berlin Wall
“Evil' may or may not be banal, but killing Jews sure is.”
Source: People Love Dead Jews: Reports from a Haunted Present