“Biblia inatuambia kuwa tuombe bila kukoma. Lakini tutaombaje bila kukoma? Njia mojawapo ya kufanya hivyo ni kutumia ‘maombi ya pumzi’ kila siku kama ambavyo Wakristo wengi wamekuwa wakifanya kwa karne nyingi. Unachagua sentensi fupi au maneno rahisi kuhusu Yesu unayoweza kuyasema na kuyarudia kimoyomoyo kila siku katika kila pumzi inayoingia na kutoka ndani ya mapafu yako! Kwa mfano: “Asante Yesu.” “U pamoja nami.” “Nataka kukujua.” “Napokea neema yako.” “Nakutegemea wewe.” “Mimi ni wako.” “Nisaidie nikuamini.” “U Mungu wangu.” “Naishi kwa ajili yako.” “Nisamehe dhambi zangu zote.” Fundisha akili yako kumkumbuka Mungu kila wakati.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“Amo ne faras malbonon al proksimulo; amo do estas la plenumado de la leĝo. (Romanoj 13.10)”
Source: Weird: Because Normal Isn't Working
“The Bible says that to have a friend we must show ourselves friendly. To that, I say, “Amen.”
“Renew your mind by washing it with truth: God's Word.”
Source: Weird: Because Normal Isn't Working
“people have managed to marry without arithmetic”
Source: The Canterbury tales