Quotessence
Home / Quotes / Quote by Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi

“Biblia inatuambia kuwa tuombe bila kukoma. Lakini tutaombaje bila kukoma? Njia mojawapo ya kufanya hivyo ni kutumia ‘maombi ya pumzi’ kila siku kama ambavyo Wakristo wengi wamekuwa wakifanya kwa karne nyingi. Unachagua sentensi fupi au maneno rahisi kuhusu Yesu unayoweza kuyasema na kuyarudia kimoyomoyo kila siku katika kila pumzi inayoingia na kutoka ndani ya mapafu yako! Kwa mfano: “Asante Yesu.” “U pamoja nami.” “Nataka kukujua.” “Napokea neema yako.” “Nakutegemea wewe.” “Mimi ni wako.” “Nisaidie nikuamini.” “U Mungu wangu.” “Naishi kwa ajili yako.” “Nisamehe dhambi zangu zote.” Fundisha akili yako kumkumbuka Mungu kila wakati.”

Quote by Enock Maregesi

Author

Enock Maregesi

Browse famous quotes and profile details for Enock Maregesi. more

You May Also Like

“What does matter is that you understand this one great truth I have learned in my life: having knowledge, even at the expense of leaving the Garden, has been worth it. For it is through this great gift of knowledge that I have understood something of the Creator's power - yes, even the Creator's love. Out of what seemed punishment, came a great good; out of physical pain, all of you have emerged. The pain has been forgotten while the pleasure of your presence endures. Adam and I have known joy - how would we have tasted it had we not known its opposite, sorrow? And we have seen how darkness is dispelled when light arrives, night and day, after night and day. We never tire of it.”

“Possibly the most debilitating deception of all is to create a god of my own making, fool myself into believing that this limp god of mine is the true God, and then construct the entirety of my life on this flamboyantly fictional character. Possibly the most devastating realization of all is when the real God shows up, and in the showing up all of this come crashing down.”