“Kuna siri ambayo wanaume hawaijui kuhusu wanawake. Wanawake wenye umri wa miaka kumi na nane hadi ishirini na mbili wana mapenzi ya kweli. Ishirini na mbili hadi ishirini na nne wana mawenge. Ishirini na nne hadi ishirini na saba wanajitambua. Ishirini na saba hadi thelathini wana hofu na mashaka mengi. Thelathini hadi thelathini na tano wana msongo wa mawazo. Thelathini na tano hadi arobaini na mbili ndoa nyingi huvunjika. Kwa hiyo, kuwa makini na wanawake na wanaume hasa wanawake na wanaume wa kundi la sita. Wanawake na wanaume hasa wanawake na wanaume wa kundi la sita, wengi wao wana DNA ya wapenzi wao wa zamani.” MenFearWomenSecretMarriageLoversDepressionTrue LoveDnaRestlessnessDoubtsSiriWanawakeNdoaWanaumeMapenzi Ya KweliVinasabaWapenziHofuMashakaMawengeMsongo Wa Mawazo Author:Enock Maregesi
“Mtu anayesema ndoa yake ni imara bila tendo la ndoa ana doa katika ndoa yake.” SexMarriageDoaStainNdoaTendo La Ndoa Author:Enock Maregesi
“Mwaka mmoja na nusu unatosha kumjua mwanamke kabla ya ndoa. Miezi sita itakufanya ujue kama mwanamke anaweza kuwa mchumba. Mwaka mmoja na nusu utakufanya ujue kama mwanamke anaweza kuwa mke.” WifeWomanWeddingSix MonthsKnowYearMwanamkeJuaFiancéeMkeNdoaMiezi SitaMchumbaMwakaMwaka Mmoja Na NusuYear And Half Author:Enock Maregesi
“Stress za mwanamke kuingia kwenye ndoa ni kubwa kuliko mwanaume ndo sababu hata Vitabu vinaonesha mwanaume ni kiongozi lakini mjini kiongozi ni hela” Quotes About LifeMwanamkeNdoa Author:Chrisper Malamsha