“Sabato ilianzishwa na Mungu siku ya saba ya uumbaji wake. Siku ya Sabato ni siku takatifu, iliyoko katika Amri Kumi za Mungu, ambayo hatuna budi kuitunza na kuiheshimu. Sheria ya Siku ya Sabato haikufa baada ya kifo cha Yesu Kristo msalabani kama Wakolosai wanavyodai. Wakolosai walifuata falsafa za kipagani, na walizileta falsafa hizo ndani ya mwili wa Kristo ambalo ni kanisa. ‘Usiiamini’ Wakolosai 2:17. Iamini Wakolosai 2:20-23, ambapo Paulo anafundisha Mataifa jinsi ya kuitunza Sabato, na 1 Wakorintho 12:27 ambayo inatoa maana halisi ya Wakolosai 2:17. ‘Mwili wako ni wa Kristo’ ni tofauti na ‘mwili wa Kristo’ na ni tofauti na kanisa. Ukiamini kama mwili wako ni wa Kristo na ni kanisa, utaitunza Sabato.” GodBodyDeathChurchCreationJesus ChristSabbathTen CommandmentsMunguGentilesPaulYesu KristoMwiliSabatoKifoColossiansPauloAmri Kumi Za MunguKanisaMataifaUumbaji1 Corinthians 12 271 Wakorintho 12 27Christ S BodyColossians 2 17Colossians 2 20 23Falsafa Za KipaganiHoly DayLaw Of The SabbathMwili Wa KristoPagan PhilosophiesSeven S DaySheria Ya Siku Ya SabatoSiku TakatifuSiku Ya SabaWakolosaiWakolosai 2 17Wakolosai 2 20 23 Author:Enock Maregesi