“Sabato ilianzishwa na Mungu siku ya saba ya uumbaji wake. Siku ya Sabato ni siku takatifu, iliyoko katika Amri Kumi za Mungu, ambayo hatuna budi kuitunza na kuiheshimu. Sheria ya Siku ya Sabato haikufa baada ya kifo cha Yesu Kristo msalabani kama Wakolosai wanavyodai. Wakolosai walifuata falsafa za kipagani, na walizileta falsafa hizo ndani ya mwili wa Kristo ambalo ni kanisa. ‘Usiiamini’ Wakolosai 2:17. Iamini Wakolosai 2:20-23, ambapo Paulo anafundisha Mataifa jinsi ya kuitunza Sabato, na 1 Wakorintho 12:27 ambayo inatoa maana halisi ya Wakolosai 2:17. ‘Mwili wako ni wa Kristo’ ni tofauti na ‘mwili wa Kristo’ na ni tofauti na kanisa. Ukiamini kama mwili wako ni wa Kristo na ni kanisa, utaitunza Sabato.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
“Taifa ni mataifa. Ukitambuliwa na taifa utatambulika kimataifa.”
Source: Operation Shylock: A Confession
Source: The Melancholy of Resistance
“Work like a professional. Don’t sweat. Don’t complain.”
Source: The Event Usher’s Handbook
Source: The Startup of You: Adapt to the Future, Invest in Yourself, and Transform Your Career
“Designation without humanity is resignation of humanity.”
Source: Amantes Assemble: 100 Sonnets of Servant Sultans
“There is far too much common nonsense, and not nearly enough uncommon sense about fruit.”
Source: The Eden Fruitarian Guidebook