Quotessence
Home / Quotes / Quote by Erica Sehyun Song

Quote by Erica Sehyun Song

“There was a sudden flash of lightning which brightly illuminated our faces. I squinted against the harsh light. It was soon followed by the crack of thunder. The strong wind whipped our hair around our faces, and the younger girls squealed as they quickly ran across the grass to get inside the school. Rose and I sat up, smiles on our faces as we listened to the weather’s dangerous melody. The third flash of lightning finally ripped open the sky’s belly. Freezing rain cascaded out, drenching us in a matter of seconds, the flower garlands drooping and lying limp on our matted hair.”

Quote by Erica Sehyun Song

Work

Thorns in the Shadow

Browse quotes and source details for this work. more

Author

Erica Sehyun Song

Browse famous quotes and profile details for Erica Sehyun Song. more

You May Also Like

“Kabla ya uasi, Mungu alimpa Shetani na wasaidizi wake ambao ni mapepo mamlaka makubwa juu ya kila kitu hapa duniani; kuanzia angahewa la dunia hadi ardhi ya dunia nzima nasi wakazi wake tukijumuishwa. Abadani tusisahau kwamba, kwa kiasi kikubwa, kupambana kwetu kama Paulo anavyosema ni dhidi ya hawa mapepo na mfalme wao ambaye ni Shetani. Tunaishi katika eneo ambapo hata wao wanaishi. Hawa mapepo wabaya huwatumia maadui wa msalaba wa Yesu Kristo kutekeleza mipango yao kwa lengo la kuwaangamiza marafiki wote wa msalaba wa Yesu Kristo, wanashawishiwa kwa kiasi kikubwa na hizo mamlaka za kimapepo, na kwa sababu wamedanganywa, hawajui hata kidogo kama Shetani anawatumia! Inawezekana hawajatwaliwa na mapepo lakini wanashawishiwa na mapepo kutenda kinyume na mapenzi ya Mungu kwa wanadamu wote.”

“Jambo ambalo Mungu anataka tulitambue ni kwamba hatuko wenyewe katika bahari hii ya hewa. Hata nyangumi na wazira waovu wanapozunguka huko na huko baharini, ambao pia ni mapepo, wanaochukuliwa kama viumbe wabaya na wachafu na wala mizoga, wanaishi katika bahari hii ya hewa pamoja na sisi. Ni muhimu, kwa ajili ya ustawi wetu wa kiroho, kusikia onyo la Paulo katika Waefeso 6:10-12 kwamba vita yetu si dhidi ya hawa viumbe, na wanapambana usiku na mchana kutetea kile ambacho wanaamini ni cha kwao kwa sababu ya haki ya kuwepo hapa kwanza kabla yetu. Dunia, Biblia inatwambia, ilikuwa makazi yao ya kwanza (Yuda 1:6, KJV). Wanatuchukia kwa sababu taratibu tunakuwa Baba na Mwana, na kwa sababu wanajua hii dunia, urithi wetu, itachukuliwa kutoka mikononi mwao na kukabidhiwa kwa wale ambao ni watoto wa Mungu, wale ambao ni marafiki wa msalaba wa Yesu Kristo.”

“Don't hang out with people who are: Ungrateful Unhelpful Unruly Unkindly Unloving Unambitious Unmotivated or make you feel... Uncomfortable”

“Stop wearing that mask that is trying to be a match for everybody, and realise that you have to have more of a 1s and 10s model. A 1s and 10s model means that if you want to be a 10 for somebody you have to risk being a 1 for somebody else. [...] You wanna express who you really are.”