Quotessence
Home / Quotes / Quote by Tullian Tchividjian

Quote by Tullian Tchividjian

“Daily Christian living, in other words, is daily Christian dying: dying to our trivial comforts, soul-shrinking conveniences, arrogant preferences, and self-centered entitlements, and living for something much larger than what makes us comfortable and safe.”

Quote by Tullian Tchividjian

Work

Jesus + Nothing = Everything

Browse quotes and source details for this work. more

Author

Tullian Tchividjian
Tullian Tchividjian

Tullian Tchividjian is a well-known pastor and theological writer, recognized for his contemporary and insightful approach to Christian faith and practice. Born on July 13, 1972, he has been influential in Christian circles, particularly for his emphasis on grace and the transformative power of the Gospel. more

You May Also Like

“Mungu hutumia watu 'wajinga' na 'wapumbavu' kufanya mambo makubwa katika maisha yao na ya watu wengine. Katika Biblia, Musa aliitwa mjinga alipokiuka amri ya Farao ya kuendelea kuwafanya watumwa wana wa Israeli nchini Misri; Nuhu aliitwa mpumbavu alipohubiri kwa miaka mia kuhusu gharika, katika kipindi ambacho watu hawakujua mvua ni nini; Daudi aliitwa mjinga alipojitolea kupambana na Goliati bonge la mtu, shujaa wa Gathi; Yusufu aliitwa mjinga alipokataa kulala na mke wa bosi wake, baada ya kuwa ameuzwa na nduguze kama mtumwa nchini Misri; Abrahamu aliitwa mjinga alipoamua kuhama nchi aliyoipenda na kwenda katika nchi ya ahadi, eti kwa sababu Mungu alimwambia kufanya hivyo; Yesu aliitwa mjinga mpaka akasulubiwa aliposema yeye ni Mfalme na Mwana wa Mungu. LAKINI, Musa alitenganisha Bahari ya Shamu na kuwapeleka Waisraeli katika nchi ya ahadi, ambako aliwakomboa kutoka utumwani. Nuhu aliokoa dunia. Daudi alimshinda Goliati. Yusufu aliokoa familia yake kutokana na njaa. Abrahamu alikuwa baba wa imani. Yesu aliyashinda mauti. Wakati mwingine tunatakiwa kufanya mambo makubwa kulingana na jinsi Roho Mtakatifu anavyotutuma, bila kujali watu au dunia itasemaje.”

“How would I know what Jesus would have done? That fella was a mass of contradictions as far as I can see. One minute he says to turn the other cheek, the next minute he's having a big strop and kicking over lads' market stalls. He says blessed are the meek and he goes around shouting and roaring the odds to everyone. He rises from the dead and then shags off a few weeks later and leaves his buddies in the shit.”

“The heart must be renewed by divine grace, or it will be in vain to seek for purity of life. He who attempts to build up a noble, virtuous character independent of the grace of Christ is building his house upon the shifting sand.”

“Ukipata matatizo kumbuka kwamba Yesu alipata matatizo pia, na kutokana na matatizo hayo mimi na wewe tulipata uhuru. Soma Biblia. Soma nyimbo katika kitabu cha Zaburi zinazomsifu Mungu katika kipindi cha matatizo. Funga na kuomba ukiamini kwamba mapenzi ya Mungu kwetu ni huru, yasiyokuwa na masharti yoyote. Toa msamaha kwa waliokukosea. Ni kitu cha muhimu kujilimbikizia imani katika kipindi cha amani, ili matatizo yakitokea usiweze kuyumba.”