Quotessence
Home / Quotes / Quote by Deborah García Bello

Quote by Deborah García Bello

Work

Author

Deborah García Bello

Browse famous quotes and profile details for Deborah García Bello. more

You May Also Like

“En un momento dado los vaqueros están de palique, sentados alrededor de una fogata, y el vejete de la cuadrilla (interpretado por James Whitmore, me parece) suelta una frase que me arrancó una sonora carcajada: "Me está gustando esto de envejecer", dice. "Quita las preocupaciones de la vida." Besé a Joyce en la mejilla y musité: -Ese imbécil no sabe lo que dice. Y por primera vez en toda la noche hice reír a mi abatida y aún perpleja enamorada.”

“Mungu alikuumba miaka mingi kabla hujazaliwa. Ndani ya roho yako kulikuwa na mpango mkuu wa Mungu juu ya maisha yako katika kipindi chote utakachokuwa hai, na katika kipindi chote utakachokuwa mfu. Lakini Shetani katika mji wa angani unaosemekana kuzuia majibu ya maombi ya Danieli ya siku ishirini na moja, kutoka mbinguni kuja duniani, uitwao Sadiki, wenye mashetani wenye nguvu kuliko mashetani wote katika ufalme wa giza, akaizuia roho hiyo kisha akaiwekea mpango mkuu wa Shetani juu ya maisha yako ili umtumikie yeye badala ya kumtumikia Mwenyezi Mungu. Kwa mfano, Mungu alipanga uzaliwe mkoani Arusha. Halafu akapanga mke au mume wako azaliwe mkoani Mwanza. Mkoani Arusha Mungu alipanga uwe mwinjilisti wa vitabu, wakati mkoani Mwanza alipanga mke au mume wako awe mwimbaji wa nyimbo za injili. Katika mikoa yote miwili Mungu alishatuma malaika wema wa kuwasaidia katika mipango mikuu ya maisha yenu na kuwaepusha na hila zote za adui. Lakini badala ya kuzaliwa Arusha au Mwanza Shetani ataziprogramu roho zenu upya ili wa Arusha azaliwe Dodoma au Mara au Venezuela na wa Mwanza azaliwe Lindi au Kagera au Mombasa, ambapo hakutakuwa na malaika wema wa kuwasaidia. Badala ya kuwa mwinjilisti wa vitabu, Shetani atakufanya uwe jambazi; na badala ya kuwa mwimbaji wa nyimbo za injili, Shetani atakufanya uwe mwanamuziki. Ndiyo maana wakati mwingine ni vizuri kuhama sehemu unapoishi na kwenda kuishi sehemu nyingine, ambapo kwa kusaidiana na malaika wako wa mwanzo ambaye Mungu alikupangia kabla hujazaliwa, utafanikiwa katika maisha yako, kama alivyofanya Ibrahimu. Watu wengi wanaishi maisha ambayo si ya kwao. Kukomboa kile ambacho Mungu alikipanga ndani ya roho yako kabla hujazaliwa, na kabla roho yako haijazuiwa na mashetani wa angani, kuwa karibu na Mwenyezi Mungu. Kwa Mungu hakuna siri, atakufunulia tu.”

“What Althusser does… is to rethink the concept of ideology in terms of Lacan’s ‘imaginary’. For the relation of an individual subject to society as a whole in Althusser’s theory is rather like the relation of the small child to his or her mirror-image in Lacan’s. In both cases, the human subject is supplied with a satisfyingly unified image of selfhood by identifying with an object which reflects this image back to it in a closed, narcissistic circle. In both cases, too, this image involves a misrecognition, since it idealizes the subject’s real situation. The child is not actually as integrated as its image in the mirror suggests; I am not actually the coherent, autonomous, self generating subject I know myself to be in the ideological sphere, but the ‘decentred’ function of several social determinants. Duly enthralled by the image of myself I receive, I subject myself to it; and it is through this ‘subjection’ that I become a subject.”