Quotessence
Home / Topics / God S Power Quotes

God S Power Quotes

Browse 51 quotes about God S Power.

God S Power Quotes

“Nyota ni kipaji, kipawa, takdiri, karama, au uweza; ni kiashiria cha rohoni kinachoonyesha mtu atakuwa nani baadaye, mafanikio ya mtu, au takdiri ya maisha ya mwanadamu. Unabii na nyota ya ufalme ni kibali cha Mungu katika maisha ya mtu. Kupata kibali hicho, tembea na watu sahihi katika maisha yako (tembea na watu ambao Mungu amekuchagulia kushika funguo za takdiri ya maisha yako). Tamka na kukiri kibali cha Mungu katika maisha yako yote. Panda mbegu za kibali cha Mungu katika udongo wa maisha yako. Jifunze kutenda mema bila malipo, kwani wema ni mbegu ya kibali cha Mungu. Jali mambo ya ufalme wa Mungu.”

“Preparation time is necessary for your growth. Trust and believe everything you're going through is preparing you for some request you put out into the Universe.”

“Your breakthrough is on the way. Don't be discouraged if things are not working out right now. God is working it all out behind the scenes. It may not come when you want, but trust that it will be right on time, because our God is an on time God.”

“The dunamis power of God equipes you to unleash your visions and that is your responsibility. You can't be responsible for what you are not equipped to do”