Quotessence
Home / Quotes / Quote by Enock Maregesi

Quote by Enock Maregesi

“Nyota ni kipaji, kipawa, takdiri, karama, au uweza; ni kiashiria cha rohoni kinachoonyesha mtu atakuwa nani baadaye, mafanikio ya mtu, au takdiri ya maisha ya mwanadamu. Unabii na nyota ya ufalme ni kibali cha Mungu katika maisha ya mtu. Kupata kibali hicho, tembea na watu sahihi katika maisha yako (tembea na watu ambao Mungu amekuchagulia kushika funguo za takdiri ya maisha yako). Tamka na kukiri kibali cha Mungu katika maisha yako yote. Panda mbegu za kibali cha Mungu katika udongo wa maisha yako. Jifunze kutenda mema bila malipo, kwani wema ni mbegu ya kibali cha Mungu. Jali mambo ya ufalme wa Mungu.”

Quote by Enock Maregesi

Author

Enock Maregesi

Browse famous quotes and profile details for Enock Maregesi. more

You May Also Like

“Just because you don't like someone doesn't mean you have to talk about them some people may have problems in life and you making rumors can lead to stress and cause the person to kill themselves. This world is filled with crazy people and drunks and anything you can imagine. Instead of making people's lives worse try to help and make it better. God made each and every human with his love, but no one is perfect.”

“To make biological survival possible, Mind at Large has to be funnelled through the reducing valve of the brain and nervous system. What comes out at the other end is a measly trickle of the kind of consciousness which will help us to stay alive on the surface of this particular planet. To formulate and express the contents of this reduced awareness, man has invented and endlessly elaborated those symbol-systems and implicit philosophies which we call languages. Every individual is at once the beneficiary and the victim of the linguistic tradition into which he or she has been born -- the beneficiary inasmuch as language gives access to he accumulated records of other people's experience, the victim in so far as it confirms him in the belief that reduced awareness is the only awareness and as it be-devils his sense of reality, so that he is all too apt to take his concepts for data, his words for actual things.”