“Nyota ni kipaji, kipawa, takdiri, karama, au uweza; ni kiashiria cha rohoni kinachoonyesha mtu atakuwa nani baadaye, mafanikio ya mtu, au takdiri ya maisha ya mwanadamu. Unabii na nyota ya ufalme ni kibali cha Mungu katika maisha ya mtu. Kupata kibali hicho, tembea na watu sahihi katika maisha yako (tembea na watu ambao Mungu amekuchagulia kushika funguo za takdiri ya maisha yako). Tamka na kukiri kibali cha Mungu katika maisha yako yote. Panda mbegu za kibali cha Mungu katika udongo wa maisha yako. Jifunze kutenda mema bila malipo, kwani wema ni mbegu ya kibali cha Mungu. Jali mambo ya ufalme wa Mungu.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
Source: Iron and Smoke
“I suppose a human's carriage is a dwarf's bus.”
Source: Gods on the Mountain
Source: Torn From the Inside Out
Source: Parallelism Of Cyclicality
“When it comes to society and human consciousness, Darwinism still exists in its primal message.”
Source: Parallelism Of Cyclicality
Source: The Doors of Perception & Heaven and Hell
Source: Coming to Grips with the Mountains and Valleys of This World