Quotessence
Home / Quotes / Quote by Jim George

Quote by Jim George

Author

Jim George
Jim George

Jim George, born in 1946, is an accomplished author known for his diverse range of works and engaging narrative style. more

You May Also Like

“Everyone needs to calm down! Okay, you got a weird cookie. So what? I don’t mean to swat your ego here, buddy, but this smacks a little narcissistic for me. God is not trying to communicate to you through a cookie. It doesn’t work that way. God’s not all Jack-and-the-magic-beans and tooth-beneath-the pillow voodoo. You don’t just close your eyes, flap open your Bible, and slam a steak knife into a verse. It’s that sort of thinking that leads to witch trials and Senate probes.”

“Mungu hutumia watu 'wajinga' na 'wapumbavu' kufanya mambo makubwa katika maisha yao na ya watu wengine. Katika Biblia, Musa aliitwa mjinga alipokiuka amri ya Farao ya kuendelea kuwafanya watumwa wana wa Israeli nchini Misri; Nuhu aliitwa mpumbavu alipohubiri kwa miaka mia kuhusu gharika, katika kipindi ambacho watu hawakujua mvua ni nini; Daudi aliitwa mjinga alipojitolea kupambana na Goliati bonge la mtu, shujaa wa Gathi; Yusufu aliitwa mjinga alipokataa kulala na mke wa bosi wake, baada ya kuwa ameuzwa na nduguze kama mtumwa nchini Misri; Abrahamu aliitwa mjinga alipoamua kuhama nchi aliyoipenda na kwenda katika nchi ya ahadi, eti kwa sababu Mungu alimwambia kufanya hivyo; Yesu aliitwa mjinga mpaka akasulubiwa aliposema yeye ni Mfalme na Mwana wa Mungu. LAKINI, Musa alitenganisha Bahari ya Shamu na kuwapeleka Waisraeli katika nchi ya ahadi, ambako aliwakomboa kutoka utumwani. Nuhu aliokoa dunia. Daudi alimshinda Goliati. Yusufu aliokoa familia yake kutokana na njaa. Abrahamu alikuwa baba wa imani. Yesu aliyashinda mauti. Wakati mwingine tunatakiwa kufanya mambo makubwa kulingana na jinsi Roho Mtakatifu anavyotutuma, bila kujali watu au dunia itasemaje.”

“How would I know what Jesus would have done? That fella was a mass of contradictions as far as I can see. One minute he says to turn the other cheek, the next minute he's having a big strop and kicking over lads' market stalls. He says blessed are the meek and he goes around shouting and roaring the odds to everyone. He rises from the dead and then shags off a few weeks later and leaves his buddies in the shit.”

“The heart must be renewed by divine grace, or it will be in vain to seek for purity of life. He who attempts to build up a noble, virtuous character independent of the grace of Christ is building his house upon the shifting sand.”