“Mfalme Sulemani alikuwa mtu mwenye hekima kuliko wote ulimwenguni. Anatushauri, “Adui yako akiwa ana njaa, mpe chakula; Tena akiwa ana kiu, mpe maji ya kunywa; Maana utatia makaa ya moto kichwani pake; Na BWANA atakupa thawabu (Mithali 25:21-22). Yesu anasema jambo fulani linalofanana sana na hilo katika mafundisho Yake yaliyofuata (Mathayo 5:44-45). Kitendo cha kutukanwa, kupigwa, kushtakiwa au kulazimishwa kubeba mzigo mzito usio wa kwako kinaweza kusababisha mafutu mabaya kabisa katika asili ya binadamu. Yaani, chuki, hasira, ukatili na hata vurugu. Lakini pale wale waliobarikiwa kuwa na hekima wanapojikuta katika majaribu makubwa kama hayo tabia yao haitakiwi kuwa ya shari, inda au ya kulipiza kisasi. Bali inatakiwa kuwa ya kusaidia, kuwa na ridhaa ya kutenda mambo mema, na kuwa mwema kwa wengine siku zote.”
Quote by Enock Maregesi
Author
You May Also Like
Source: First Frost
“To share your food with your neighbour is a kind act of bonding.”
Source: Thirst
Source: The True Adventures of Nicolo Zen
“Michelin Star? I’d rather chew a French rubber tyre.”
Source: Fine Things: Fennel's Journal No. 8
Source: Cooked: A Natural History of Transformation
Source: Calcutta: Two Years in the City
“Nobody will buy a half-cooked food!”
Source: Six Words Inspiration