Quotessence
Home / Quotes / Quote by U.G. Krishnamurti

Quote by U.G. Krishnamurti

“The problem is this: nature has assembled all these species on this planet. The human species is no more important than any other species on this planet. For some reason, man accorded himself a superior place in this scheme of things. He thinks that he is created for some grander purpose than, if I could give a crude example, the mosquito that is sucking his blood. What is responsible for this is the value system that we have created. And the value system has come out of the religious thinking of man. Man has created religion because it gives him a cover. This demand to fulfill himself, to seek something out there was made imperative because of this self-consciousness in you which occurred somewhere along the line of the evolutionary process. Man separated himself from the totality of nature.”

Quote by U.G. Krishnamurti

Work

No Way Out: Dialogues with Krishnamurti

Browse quotes and source details for this work. more

Author

U.G. Krishnamurti
U.G. Krishnamurti

U.G. Krishnamurti was an Indian writer and philosopher known for his profound philosophical thoughts and unique existentialist views. His works mainly focused on themes such as human consciousness, self-awareness, and freedom, which had a profound impact on contemporary philosophy and psychology. more

You May Also Like

“Most human beings would have never been pained by the death of a human being if they had never seen a human being or pretending to be pained by that.”

“We have this distinctly human concept of good and bad. Nature doesn't have that. It just is. I'm not comfortable with that. I'm not accepting of the fact that we live in a profoundly brutal world. I don't fully approve of the way nature works. This lifetime of study has left me disappointed by the brutality of it all. It has also made me more sympathetic to the human condition and the many unbearable circumstances we find ourselves in. You and I are lucky in this part of the world not to experience the sort of wretched life that is a reality for so many.”

“Λαθράνθρωπος, οι = ἂνθρωπος/οι, που λαθραῖα συν~κατα~λέγονται στο εἲδος των ἀνθρῶπων ~ Lathranthrope, Lathranthropes = the person or persons that get smuggled into being included within the Human species neology by Ale3ia”

“Kuna mambo yanatokea hapa ulimwenguni ambayo yanafanya nikiri uwepo wa Mungu kwa asilimia kubwa. Wanasayansi wanasema ulimwengu ulianzishwa na mlipuko wa ‘Big Bang’, uliotokea takribani miaka bilioni 14 iliyopita, kutoka katika kitu kidogo zaidi kuliko ncha ya sindano, lakini hawatuambii nini kilisababisha mlipuko huo utokee au hicho kitu kidogo kuliko ncha ya sindano kilitoka au kilikuwa wapi. Wanaendelea kusema kuwa baada ya ‘Big Bang’ kutakuwepo na ‘Big Crunch’, ambapo ulimwengu utarudia hali yake ya awali ya udogo kuliko ncha ya sindano, na kila kitu kinachoonekana leo ulimwenguni hakitaonekana tena. Hapo sasa ndipo utata unapokuja. Mlipuko wa ‘Big Bang’ ulipotokea ulimwengu ulilipuka na kusambaa pande zote nne za ulimwengu kwa mwendokasi wa zaidi ya kilometa milioni 2 kwa saa, mpaka hivi leo unavyoonekana na bado unaendelea kusambaa. Kutokana na dhana ya ‘Big Crunch’, wanasayansi wanaamini ulimwengu utapanuka ila baadaye utapungua mwendo na utarudi mwanzo kabisa mahali ulipolipukia. Lakini mwaka 1995 wanasayansi hao hao waligundua kitu. Ulimwengu – badala ya kupungua mwendo wa kupanuka kama wanasayansi walivyokuwa wakitabiri – sasa unaongeza mwendo, tena kwa mwendokasi ambao haujawahi kutokea. Hiki ni nini kinachosababisha ulimwengu uongeze mwendokasi kiasi hicho badala ya kuupunguza? Hicho ni nini ambacho ulimwengu unapanukia? Wanasayansi hawana jibu. Wanasingizia kitu kinaitwa ‘dark matter’, maada ambayo haijawahi kuonekana, kwamba ndicho kinachosababisha ulimwengu uongeze mwendokasi kwa kiwango hicho ambacho hakijawahi kutokea; na hicho ambacho ulimwengu unapanukia wanahisi ulimwengu wetu unapanukia katika ulimwengu mwingine, kwa mujibu wa dhana nyingine kabisa iitwayo ‘multiverse’ au ‘meta-universe’. Kuna kitu kinaitwa ‘Higgs boson’ – chembe ndogo inayosemekana kuhusika na uzito (‘mass’) wa chembe ndogo 16 zilizomo ndani ya atomu, kasoro chembe ya mwanga, iliyopotea mara tu baada ya mlipuko wa ulimwengu wa ‘Big Bang’ miaka bilioni 13.7 iliyopita katika kipindi kilichoitwa ‘epoch’ – ambayo ilianza kutafutwa katika maabara za CERN, Uswisi, toka mwaka 1964, maabara ambazo kazi yake kubwa ni kutengeneza mazingira ya mwanzo kabisa ya mlipuko wa ‘Big Bang’, kusudi wanasayansi waone kama wanaweza kubahatisha kuiona na kuidhibiti hiyo bosoni. Bosoni itakapopatikana wanasayansi watajua siri ya ‘dark matter’, watajua jinsi ulimwengu unavyofanya kazi na jinsi ulivyoumbwa na jibu la kitendawili cha ‘Standard Model’ litapatikana. Hiyo ni kazi ngumu. Ndiyo maana ‘Higgs boson’ mwaka 1993 iliitwa ‘The God Particle’. Yaani, wanasayansi wanahisi kuna muujiza wa Kimungu na huenda wasiipate kabisa hiyo bosoni. Wanasema waliipata mwaka 2013. Lakini hiyo waliyoipata bado ina utata. Kutokana na kushindwa huko kwa sayansi na historia, kutokana na kushindwa kwa sayansi kutengeneza binadamu au mnyama, kutokana na miujiza iliyorekodiwa katika vitabu vitakatifu; naamini, Mungu yupo.”